Mtumishi wa umma akipoteza salary slip afanyeje ili aipate tena?

vamda

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
895
Reaction score
571
Ndugu wadau. Napenda kufahamu endapo mtumishi wa umma amepoteza salary slip anatakiwa aende wapi ili aweze kuipata tena kama ile iliyopotea au hata mbadala wake? Nomba wataalamu mtirirke.
 
Aende kwa Mhasibu Mkuu uwa anakuwa na copy

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ulimwengu huu wa digitali bado watu wanapeana salary slip manually? Ilitakiwa serikali wawe na system ya ku-query salary slip online mambo ya paper work yatosha jamani C6 na chief-mkwawa ebu tumieni fursa hii kuwatengenezea serikali ka-system ka kucheck salary slip hapo ni ERP na Oracle tu.
 
Last edited by a moderator:
Nenda ya fedha kitengo cha mishahara muombe mhasibu wa mishahara akutolee copy kwenye control sheet we mpe check number na sub vote unayolipiwa mshahara.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
ya ni Rahisi sana ukifuata Ushauli wa Kababi. Lakini salary slip siku hizi si muhimu kama kumbukumbu ya kuduma klabuda kwa kujua unapata mshahara kiasi gani na makato ni kiasi gani. Zamani zilikuwa na umuhimu kwa ajili ya kumbukumbu ya pensheni ya mfanyakazi siku hizi ni kwa ajili ya kuchulia mkopo katika taasisi za fedha.
 
Ndugu wadau. Napenda kufahamu endapo mtumishi wa umma amepoteza salary slip anatakiwa aende wapi ili aweze kuipata tena kama ile iliyopotea au hata mbadala wake? Nomba wataalamu mtirirke.
  • Nenda halmashauri ya wilaya unayofanyia kazi, Waone wahusika wa Idara ya Fedha , nakala wanayo - omba utoe copy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…