mumagoma
Senior Member
- Jan 15, 2014
- 186
- 95
Ndugu zangu wana jf naomba kuuliza ni sheria ganii inayombana mtumishi wa umma kama ana tuhuma za kujibu mahakamani,na je vipi kuhusu mshahara wake anapaswa alipwe vipi,na kazini anapaswa ahudhurie ama vipi,halafu naomba kufahamu mwajiri anapaswa akutetee kwa namna yoyote