Nyaka-One
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 4,730
- 6,736
Wajuzi wa mambo naomba tuelemishane hapa. Kuna ndugu yangu ambaye kwa sasa ni Afisa Biashara daraja la kwanza katika moja ya Halmashauri za manispaa nchini.
Katika kufuatilia kwake ili arekebishiwe cheo chake ili awe Afisa Biashara Mwandamizi ameambiwa ataingizwa katika bajeti ya mwaka 2020/2021 kitu ambacho kitafanyika miezi hii hii.
Kilichomshtua ni baada ya kuambiwa kuwa hata baada ya kuingizwa kwenye bajeti hiyo ya 2020/2021 lakini itabidi asubiri hadi mwaka 2022 (yaani miaka miwili baada ya kuwa ameingizwa kwenye bajeti) ndipo atarekebishiwa na kupewa barua ya mabadiliko ya cheo hicho kipya.
Je, wadau ndivyo utaratibu ulivyo?
Katika kufuatilia kwake ili arekebishiwe cheo chake ili awe Afisa Biashara Mwandamizi ameambiwa ataingizwa katika bajeti ya mwaka 2020/2021 kitu ambacho kitafanyika miezi hii hii.
Kilichomshtua ni baada ya kuambiwa kuwa hata baada ya kuingizwa kwenye bajeti hiyo ya 2020/2021 lakini itabidi asubiri hadi mwaka 2022 (yaani miaka miwili baada ya kuwa ameingizwa kwenye bajeti) ndipo atarekebishiwa na kupewa barua ya mabadiliko ya cheo hicho kipya.
Je, wadau ndivyo utaratibu ulivyo?