Mtumishi wa umma unapambanaje hapa

Mtumishi wa umma unapambanaje hapa

Clark boots

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2017
Posts
6,770
Reaction score
6,202
Let's say unafanya kazi kwenye taasisi/shirika la Umma na unaweza kumaliza miezi sita(6) hata mwaka hujapata seminar wa safari yoyote za kikazi.
Na hata seminars na safari za maokoto zikitoka hauwepo kwenye list , hivi si mnaishiaga kununa tu na kuwachukia Bosses kila kukicha😃😁
Hongera kwa zile ofisi zenye rotations za Seminar na Safari kwa watumishi wa ofisi moja maana inasaidia kuondoa haya Makasiriko, Majungu na Chuki Makazini😂
 
Let's say unafanya kazi kwenye taasisi/shirika la Umma na unaweza kumaliza miezi sita(6) hata mwaka hujapata seminar wa safari yoyote za kikazi.
Na hata seminars na safari za maokoto zikitoka hauwepo kwenye list , hivi si mnaishiaga kununa tu na kuwachukia Bosses kila kukicha😃😁
Hongera kwa zile ofisi zenye rotations za Seminar na Safari kwa watumishi wa ofisi moja maana inasaidia kuondoa haya Makasiriko, Majungu na Chuki Makazini😂
Wewe utakuwa ndo wale wanoko, machawa wazee wakujipendekeza kwa boss ili kila dokezo la safari za maokoto jina lako liwepo sasa unakuja humu kuwadhihaki wanaume ambao wanamisimamo kazini na sio machawa!
 
Ongezea nyama kidogo mkuu
Nitatoa mfano:-
Kijana A alinunua jokofu kama kitendea kazi, akaamua kuanzisha kiwanda chake kidogo cha kutengeneza barafu, ingawa ilikuwa inamuingizia pesa kidogo kila siku, lakini kiwanda chake kidogo kiliendelea kuzalisha na baada ya miaka kadhaa akawa ameongeza uwigo katika uzaishaji wake;kwa bahati mbaya yule kijana alipata ulemavu lakini kiwanda chake kiliendelea kwa sababu kilikuwa kimewaajiri vijana wengi wa kufanya kazi.

Kijana B aliajiriwa kwenye kampuni x akawa analipwa mshahara mkubwa, na akapewa huduma ya usafiri na malazi; maisha yake kwa ujumla yalikuwa mazuri sana. Aliweza kuoa na kupata watoto, na alifanikiwa kuwapeleka nje kwa ajili ya masomo. Kwa bahati mbaya kijana B akiwa katika safari zake, ghafla akakutana na lori kwa mbele lenye mwendo mkali, likamgonga na kuchukua uhai wake. Baada ya hapo, ndugu wa kijana B walifanya taratibu za mazishi, na hali ya uchumi ikawa imebadilika na hatimaye watoto kurudi nyumbani na kujipanga kuanza moja; kwa sababu baba yao hakuwa akimiliki biashara yoyote zaidi ya ajira tu.​
 
Nitatoa mfano:-
Kijana A alinunua jokofu kama kitendea kazi, akaamua kuanzisha kiwanda chake kidogo cha kutengeneza barafu, ingawa ilikuwa inamuingizia pesa kidogo kila siku, lakini kiwanda chake kidogo kiliendelea kuzalisha na baada ya miaka kadhaa akawa ameongeza uwigo katika uzaishaji wake;kwa bahati mbaya yule kijana alipata ulemavu lakini kiwanda chake kiliendelea kwa sababu kilikuwa kimewaajiri vijana wengi wa kufanya kazi.

Kijana B aliajiriwa kwenye kampuni x akawa analipwa mshahara mkubwa, na akapewa huduma ya usafiri na malazi; maisha yake kwa ujumla yalikuwa mazuri sana. Aliweza kuoa na kupata watoto, na alifanikiwa kuwapeleka nje kwa ajili ya masomo. Kwa bahati mbaya kijana B akiwa katika safari zake, ghafla akakutana na lori kwa mbele lenye mwendo mkali, likamgonga na kuchukua uhai wake. Baada ya hapo, ndugu wa kijana B walifanya taratibu za mazishi, na hali ya uchumi ikawa imebadilika na hatimaye watoto kurudi nyumbani na kujipanga kuanza moja; kwa sababu baba yao hakuwa akimiliki biashara yoyote zaidi ya ajira tu.​
Rich dad poor dad
 
unakuta jamaa anakalia barua zote anasafir peke yake. anatoka mkoa x kaunga mkoa y .anakaimisha kwa simu tu.yupo razi kazi i na yenywe kija ya posho awape hata vitengo vingine huko ila sio wa kitengo chake.maisha yanakua magumu ila roho ya hivyo mara nyinng unayakuta na yenywe hela hazikai.na kila skiku anapata na kila siku zinatoka toka tahamak kastaafu na mnamsahau.huwa wanasahau siku hazigandi
 
Rich dad poor dad
Usipokuwa makini na motivational speakers utapotea kabisa, Robert muandishi wa Rich Dad Poor Dad aliajiriwa katika jeshi la Marekani ndipo aliweza kufanya savings zake na kuinvest.
 
Wewe utakuwa ndo wale wanoko, machawa wazee wakujipendekeza kwa boss ili kila dokezo la safari za maokoto jina lako liwepo sasa unakuja humu kuwadhihaki wanaume ambao wanamisimamo kazini na sio machawa!
Wanakela hawa manina zao 😅😅😅
 
Usipokuwa makini na motivational speakers utapotea kabisa, Robert muandishi wa Rich Dad Poor Dad aliajiriwa katika jeshi la Marekani ndipo aliweza kufanya savings zake na kuinvest.
Je aliendelea n kazi y jeshi mpk kustaff kwake?










KAZI ni kipimo cha UTU
 
Back
Top Bottom