Uzi tayari😂😂😂View attachment 1092352
Huu mtungi wa gongo uliotengenezwa mwaka wa 1892 tayari umeshaanguka baada ya kuwasili Dara Salama siku mbili zilizopita.
Jiulize, mbona locomotive yenyewe haina matairi?View attachment 1092352
Huu mtungi wa gongo uliotengenezwa mwaka wa 1892 tayari umeshaanguka baada ya kuwasili Dara Salama siku mbili zilizopita.
Kimekuja kufanya test bila tairi? Eee mungu nisamehe na makosa yangu ya dunianiMkenya nae ameraruka nayo hewani, pole mkuu, imeanguka ikiwa inashushwa eneo la tukio, si unaona hata tyre hakuna?!!!
Kwani umeme uko wapi!!Kimekuja kufanya test bila tairi? Eee mungu nisamehe na makosa yangu ya duniani
Siniulize mimi mkuu, waulize wenye mamlaka, nami nawauliza walikiletea cha nini?Kwani umeme uko wapi!!
Haya ukipata jibu usikae kimya.Siniulize mimi mkuu, waulize wenye mamlaka, nami nawauliza walikiletea cha nini?
bro, sio kuanguka! wana-testi kama kikichoka kinaweza kikalalaView attachment 1092352
Huu mtungi wa gongo uliotengenezwa mwaka wa 1892 tayari umeshaanguka baada ya kuwasili Dara Salama siku mbili zilizopita.
bro, sio kuanguka! wana-testi kama kikichoka kinaweza kikalala
bado time aisee, si unajua mambo ya waswahili jamaa wa chipsi mayai, subiri hadi saa sita mchana!Hehehe kiamshwe basi maana kumekucha, ila huyo bwege na selfie yake jameni namhurumia sana.
Mkandarasi alipigiwa simu na JPM akambiwa hicho kichwa hakifai kabisa..Hata yeye akikiangalia zivuri akaona ni kweli..Hatimae akikitupa hapo pembezoni mwa reli kama scrap metal, kichwa kingine kipya kipo kwa orderView attachment 1092352
Huu mtungi wa gongo uliotengenezwa mwaka wa 1892 tayari umeshaanguka baada ya kuwasili Dara Salama siku mbili zilizopita.
Mbona mnakuwa wavivu,kufikiri?View attachment 1092352
Huu mtungi wa gongo uliotengenezwa mwaka wa 1892 tayari umeshaanguka baada ya kuwasili Dara Salama siku mbili zilizopita.