Mtusaidie na sisi tujue Kiingereza

zagarinojo

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2020
Posts
2,622
Reaction score
2,846
Kauli ya Tundu Lissu imenigusa kweli kweli naumia kweli na nawaonea wivu wale ambao wanajua kiingereza wanakicharaza Kama charahani inavyoshona.

Huku sisi wengine wa kayumba tunapata tabu kukijua. Mtusaidie basi na sisi tujue tuwe tunaelewa hata movie tu zinamaana gani.

Sasa nyie mnakitunza kisa mnakijua

Mtusaidie na wenzenu.
 
Chagua CHADEMA mtafundishwa Kiingereza bure ili rais wenu mpya asiwe anajificha mvunguni mwa kitanda akiwasikia mkikiongea...

Tena wewe 19 yrs old bado ubongo wako haujajaa makorokocho mengi unaweza ukakijua na kukiongea vizuri kushinda hata Malkia Eliza.
 
[emoji23]
 
77749+99--*9+-999+++++++++++++8+88+9859+895+9587+99+85+97+599+5598+++++858+++998+998959+9+5+998888888888+5985+95985+5+9588+955555555555555555555555555599++999+999696999+9699+9699+999+99+966669++96

22233........0000.-*/
Nini hiko hesabu sizijui
 
Watu wanatema yai kama wanachezea vile wakati sisi tunalihitaji kwa ajili ya intavyuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…