M MINOCYCLINE JF-Expert Member Joined Apr 2, 2015 Posts 8,018 Reaction score 16,802 Apr 10, 2021 #1 " Nawasalimu kwa Jina la CAG " ambapo Wanyonge wenzangu nanyi mtaitikia kwa kusema ' Tumepigwa Sana ' sawa? Kuitwa Mnyonge kwa Tanzania yetu hii Kutukanwa na Kufanywa huna Akili hivyo tusiitane tena tafadhali. Ni nchi gani barani Afrika kwa Mila zake kama Mtu akiwakosea Mamilioni akifa tu Kaburi lake linachapwa sana tu Viboko?
" Nawasalimu kwa Jina la CAG " ambapo Wanyonge wenzangu nanyi mtaitikia kwa kusema ' Tumepigwa Sana ' sawa? Kuitwa Mnyonge kwa Tanzania yetu hii Kutukanwa na Kufanywa huna Akili hivyo tusiitane tena tafadhali. Ni nchi gani barani Afrika kwa Mila zake kama Mtu akiwakosea Mamilioni akifa tu Kaburi lake linachapwa sana tu Viboko?
Mkalimani wa taifa JF-Expert Member Joined Aug 8, 2020 Posts 753 Reaction score 1,290 Apr 10, 2021 #2 bado sijasikia jina langu mkalimani wa taifa likitajwa kwenye report
K Kimwakaleli JF-Expert Member Joined Apr 16, 2018 Posts 7,755 Reaction score 11,737 Apr 10, 2021 #3 Tumepigwa sana🏹🏹🏹🏹
Donnie Charlie JF-Expert Member Joined Sep 16, 2009 Posts 16,908 Reaction score 19,123 Apr 10, 2021 #4
Mkalimani wa taifa JF-Expert Member Joined Aug 8, 2020 Posts 753 Reaction score 1,290 Apr 10, 2021 #5 tatizo bongo kila kitu ni fursa,mtaji mpya ni wanyonge,hawa ni nyumbu wa kuwakamua maziwa,jasho mpaka damu ikibidi na pumzi kabisa,why hard working citizens are the so called Wanyonge? fvck wanyonge
tatizo bongo kila kitu ni fursa,mtaji mpya ni wanyonge,hawa ni nyumbu wa kuwakamua maziwa,jasho mpaka damu ikibidi na pumzi kabisa,why hard working citizens are the so called Wanyonge? fvck wanyonge
Trimmer JF-Expert Member Joined Apr 25, 2014 Posts 2,443 Reaction score 4,007 Apr 14, 2021 #6 Generalist said: " Nawasalimu kwa Jina la CAG " ambapo Wanyonge wenzangu nanyi mtaitikia kwa kusema ' Tumepigwa Sana ' sawa? Kuitwa Mnyonge kwa Tanzania yetu hii Kutukanwa na Kufanywa huna Akili hivyo tusiitane tena tafadhali. Ni nchi gani barani Afrika kwa Mila zake kama Mtu akiwakosea Mamilioni akifa tu Kaburi lake linachapwa sana tu Viboko? Click to expand... Nyie ndo mnafanya bangi ionekane mbaya
Generalist said: " Nawasalimu kwa Jina la CAG " ambapo Wanyonge wenzangu nanyi mtaitikia kwa kusema ' Tumepigwa Sana ' sawa? Kuitwa Mnyonge kwa Tanzania yetu hii Kutukanwa na Kufanywa huna Akili hivyo tusiitane tena tafadhali. Ni nchi gani barani Afrika kwa Mila zake kama Mtu akiwakosea Mamilioni akifa tu Kaburi lake linachapwa sana tu Viboko? Click to expand... Nyie ndo mnafanya bangi ionekane mbaya
kiboboso JF-Expert Member Joined Sep 17, 2013 Posts 9,323 Reaction score 12,594 Apr 14, 2021 #7 Wanyonge wa taifa hili walituchelewesha sana.