Chama kimoja,
Mhimili mmoja,
Mmekuwa waongo waongo kwa kujificha kwa Kikwete kuhusu mradi wa Bandari ya Bagamoyo.
JK mvumilivu sana,ndio maana aliwahi tamka kuwa hatuachiani glass ya maji.Nimeamini maneno yake.
Wabunge kwa umoja wenu muilazimishe serikali ilete mkataba wa ujenzi wa bagamoyo wa enzi ya awamu ya 4 na marekebisho ya awamu ya 6.
Awamu ya 5 haikuwa na mkataba zaidi ya kukandia.
Taifa kwanza,maslahi yenu baadae.
Mhimili mmoja,
Mmekuwa waongo waongo kwa kujificha kwa Kikwete kuhusu mradi wa Bandari ya Bagamoyo.
JK mvumilivu sana,ndio maana aliwahi tamka kuwa hatuachiani glass ya maji.Nimeamini maneno yake.
Wabunge kwa umoja wenu muilazimishe serikali ilete mkataba wa ujenzi wa bagamoyo wa enzi ya awamu ya 4 na marekebisho ya awamu ya 6.
Awamu ya 5 haikuwa na mkataba zaidi ya kukandia.
Taifa kwanza,maslahi yenu baadae.