Oyoooo! Wabetiji!? Twende kazi Sasa wale wenye access na Netflix msitusahahu wengine tunasubiri pambano litakapokuwa linezagaa YouTube turudie.
Inaonekana Tyson bado ana speed yake ya 5g, wakati dogo naye anaonekana anadharau kidogo kule sio kujiamini ni dharau, acha nife njaa la hili li 500k
Tusubiri kwa hamu Sasa!
Inaonekana Tyson bado ana speed yake ya 5g, wakati dogo naye anaonekana anadharau kidogo kule sio kujiamini ni dharau, acha nife njaa la hili li 500k
Tusubiri kwa hamu Sasa!