brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Mdogo wangu matusi nayajua zaidi yako nitakudhalilisha uione jf chungu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] et "dai" (diamond) tena kwa pozi
kuna mwingine DRAKE kamshirikisha WIZIKID DANCE HALL UCHEKIWizkid ndiye aliyemshirikisha drake kwenye ojuelegba remix
Alikiba hana nominee iyo ya collabo mtv wanatambua wimbo ni wa saut sol na tuzo inatoka moja tu paleAlikiba sio mtu wa mchezo mchezo, 1 category down, tunasubiri nominations zetu 2 zilizobaki.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] r. Kelly si hata amani wa kenya aliimba naevideo of the year king Kiba lazima apate nomination, hawawezi kumpa upcoming bana MTV wanamjua king Kiba ni wa kitambo aliimbaga na R.Kelly miaka ile.
Kwa nini ujisumbue na huyo Kicheche asiyechagua maneno?? Mwenzio yupo kazini humu anatafuta Mabwana!!!Mdogo wangu matusi nayajua zaidi yako nitakudhalilisha uione jf chungu
Achana naye huyo, team kiba huyo sikuzote hawanaga facts wao ni chuki, ubishi na matusi + roho mbaya ... Si umeona eti kafuraaaahi yule mwenzake anavyoombea mondi angekuwa bashaMe and I ntake radhi bhana kwani kumuita mtu kwa kifupi ndio umelegeza sauti au??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naona umekuja na avatar nyingine hahaa ila relax that was a joke don't take it seriously.. Timu pinzani ni Kama wataniKwa nini ujisumbue na huyo Kicheche asiyechagua maneno?? Mwenzio yupo kazini humu anatafuta Mabwana!!!
Naona umepanic[emoji12] [emoji12] [emoji12]Mdogo wangu matusi nayajua zaidi yako nitakudhalilisha uione jf chungu
Kumchukulia jamaa MCHELE kwako ni JOKE..!?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naona umekuja na avatar nyingine hahaa ila relax that was a joke don't take it seriously.. Timu pinzani ni Kama watani
Mdau Ali awe msanii chipukizi mbona unamkosea 15years kwenye game mdau be serious bhana
JF ni sehemu ambapo ambapo kila mtu hutoa hisia zake, sio kuongea unayopenda kusikia, kutumia lugha za matusi kila mtu anaweza but wengi ni Waastaarabu! Kulikua hakuna haja ya wewe kutukana! Kisa humpendi Diamond! Ndo zangu kununua ugomvi kwa watu wasio Wastaarabu kama wewe!!! Wewe ni mtoto wa kike afu then unataka kumfanya Mwana aonekane Shoga!!!??? Kisa Ally Kiba....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naona umekuja na avatar nyingine hahaa ila relax that was a joke don't take it seriously.. Timu pinzani ni Kama watani