ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
Kukaa kwangu tokea mwaka 2010 hapa JF kumbe huyu anayejiitaga heaven on desert kumbe ni Wema Sepetu bwana!
ndo mwanaume anavyotakiwa awe.sio kila mud a mtoto wa kiume unakimbizana na vioo na vipodozi.haileti maana basi tu
Hiyo Best Collabo lazima achukue...!! LAZiMA!
Kumbuka mafikizolo wanamkubali huyo unaemsema hamna kitu ,na wameomba wameomba wafanye nae collabo ikibidi kulipia gharama za kuendelea kukaa south mpka collabo ifanyike coz wanaamin uwezo na kick yake saiv Afrika ..tupende vyetu @ Yusuph Issa
Ni lazima umsifie domo kwani ndo anayekufanya uende chooni.
mziki wa vionjo vyetu upo ila hatuupi saport mfano mziki anaoimba Best Naso unavionjo vya kibongo kabisa
Bosi wako mwenyewe Tomaso
We mwenyewe Tomaso !
Hamuwezi kujielezea Kwa lugha zote mbili si Kingereza si Kiswahili !
We mwenyewe ukileta thread hapa zinakuwa na maadhi ya kike kike, mipasho mingi ! Kama khadija kopa !
Atleast Akili zingekuwa zina azimwa, Wema sepetu angemwazima Diamond !
Mana in Reality Akili za Diamond na Wema ni Irelevant kabisa !
Wema anaweza kujielezea !
Btw
Diamond kashindwa MTV na wala usitegemee kuchukua B.E.T
labda hao bet wawe na akili fupi kama zenu ! Wewe na kaka yako huyo !
Sio hater but reality tu
no pun !
mziki wa vionjo vyetu upo ila hatuupi saport mfano mziki anaoimba Best Naso unavionjo vya kibongo kabisa
hajaambulia hata tuzo mojani ustaarabu wa kawaida kabisa ukianzisha thread kama tupeane mlejesho huyu diamondo vipi imekuwaje huko kwazul natal?
hajaambulia hata tuzo moja
Tungekoma mtaa wa pili, maana na kenyew kanapendag sifa za kijinga
Binamu nipe umbeaa yaan sijui wala sielewi ilikuaje hukoo vip team Wema safari hii nyota imezima auui????
wanafananisha umaarufu wa nje na wa ndani,hivi kweli Diamond wa kumfananisha na Davido kwa umaarufu?Tungekoma mtaa wa pili, maana na kenyew kanapendag sifa za kijinga
WApo kimyaaa, jipange naona anajisafisha ooh madame kapendeza sana, sasa iv wanamvaa diva, nasikia jana alipost kuwa kafurah sana ndomo kukosa tuzo, so mashambuliz kwa diva, naona ishu ya tuzo wameipotezea
Kumbee bina sipati picha tuzo ingenyakuliwa sasa hivi ingekua matangazo mengiiii aisee,naona Wema alijiandaa kwenda pale mbele kama kwenye KTMA na aunt nae alieoa kala hasara jamaniiii mke kutwa kuzurulaaaa
tusubiri BET