MTV waandaa collabo ya Ne-Yo na Diamond Platnumz, this is epic!

Mkalibari

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2012
Posts
659
Reaction score
399
Jionee mwenyewe.



============

Mashabiki wa Diamond Platnumz wavamia ukurasa wa Neyo wa Twitter

View attachment 268939View attachment 268940
Check wabongo walivyo ivamia page ya Neyo.

Unajua chibu anajua sana kucheza na akili za wapenzi ni followers wake
Na wanamsaidia sana kwa kiasi kikubwa

=======
=======

NEYO AKUTANA NA DIAMOND AFRIKA KUSINI KWENYE TUZO ZA MTV AWARDS, 2015.

===========

NEYO ATUA KENYA KWENYE PROJECT YA COKE STUDIO
NE-YO IN KENYA


Just landed in Africa! Shoutout to #KenyaAirways for the smooth flight #NONFICTION2015#CokeStudioAfrica

===========

MENEJA WA DIAMOND ASAFIRI HADI KENYA KUOMBA COLLABO NA NEYO

NEYO ATAJA LIST YA WASANII ATAKAOFANYA NAO KAZI AFRIKA
Msanii nguli Neyo ametaja list ya wasanii amabao wame mvutia na yupo tayari kufanya nao collabo na wasanii hao ni P.square, Diamond na Vanessa Mdee. Neyo amesema hayo live wakati Anahojiwa katika kipindi cha coke studio pwilo Shardcole

COLLABO YA DIAMOND & NEYO: SHEDDY CLEVER AELEZEA JINSI ZALI LILIVYOMDONDOKEA

SHEDDY CLEVER ADOKEZA KUWA NEYO KAIMBA KWA KISWAHILI KWENYE WIMBO WAKE NA DIAMOND
 
Nasikia ali kiba kafukuzwa anapoish ?
 
Diamond platnumz aka chibu dangote anazidi kung'ara kila kukicha kutokana na ubora anaouonyesha kwenye kazi yake na kuwa wakipekee sana barani hasa linapokuja suala la utumbuizaji..

Ukiachana na show ya road to mama ambapo diamond anatarajiwa kutoa burudani Nigeria 3, jully diamondplatnumz amezidi kupata shavu kwa kuchaguliwa kuwa ataperform pamoja na Neyo kwenye stage siku ya utoaji wa tuzo za Mtvmama2015... Na hii ni dhahiri kwamba moja ya tuzo anayogombea "best live" ni yake anasubiri tu kupewa..

Vipi wadau mnahisi patachafukaje sikuhiyo wanyama wawili hawa wakikutana??

Tusisahau pia kumtendea haki kijana
Kupiga kura ingia link hii

Waweza piga kura mara nyingi kwa kila kategori

Tuzo 3

http://mama.mtv.com/voting/

View attachment 263081

Tanzania oyeeee
 
Tupige kura kuna nafas 20 za kura kwa category.

Bofya vya kutosha kumpigia kura diamond na vanessa
 
Duuu guyz lets keep on voting voting voting n voting!! Tusichoke jamani kupiga kura coz diamo ndo jembe letu axeee
 
Diamond tuzo ya Best Live act niyake bila shaka pia tuongeze nguvu kwenye category hzo zingne. Vote vote vote Neyo×Diamond live on stage itakuashigidii Shidaaa
 
Kwa kweli kijana ana ni-inspire sana!

Tena sana!

Hii nyota yake in ina mwanga hatari. Ngoja yangu niyafanyie kazi ning'ae kivingine.

About voting, nimeshampa mbili 3 sana tu. Hope tutashinda.

We wont cheat! lol lol
 
Ila Ne-yo si chakula cha bwana? Asije kumshawishi ndomo kujiunga kwenye hiyo movement. ..imenifika hapaaa (sound brown voice)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…