Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,947
- 2,108
Hahahaaaaa naona dawa imekuingia kisawasawa unapotezea na mambo ya siasa.
Leo kazi mnayo.
Ha haa hamna..ila kibakuli anapiga hatua...
Ila tupo bize na kuikomboa hii nchi
Watu na roho zao mbayaaaaaaaaaaaa......!!!
walisubiri aje cokes studioooo
si wangemfata
sasa mnyenyooosha au mmenyooshwaaaaaaaaaaa,
bbbbwwwwaaaaaaahhhhhhjhhhhjh!
Diamond tulimpandisha wenyewe na tutamshusha..subir aende kwenye uznduz wa kampen.za ccm.pale jangwan
kwa nn salaam na kiba wamepiga picha pamoja ??? jibu kama unajua
Heheheheeeeee mchawi mwenzangu kwani vepeeeeee????!!!!
Chaaaaaaaa!!! Hata nyie wa intaneshino hamjui penye Neyo anaishi hadi msubiri cocacola iwape lift??!!! Aaaaaaah si mlikuwa nae nyie kwenye MTV jameniiii!!! Keh!! Au kosa ni kuappear na le king mwenyeweeee!!!
Btw; nakusalimu mwalimu wangu ukifika shule mgee nifah ubuyu ntakulipa kwa M-Pesa!
Heheheheeeeee mchawi mwenzangu kwani vepeeeeee????!!!!
Chaaaaaaaa!!! Hata nyie wa intaneshino hamjui penye Neyo anaishi hadi msubiri cocacola iwape lift??!!! Aaaaaaah si mlikuwa nae nyie kwenye MTV jameniiii!!! Keh!! Au kosa ni kuappear na le king mwenyeweeee!!!
Btw; nakusalimu mwalimu wangu ukifika shule mgee nifah ubuyu ntakulipa kwa M-Pesa!
umeona eeeehhuuuuuhhu!!!
waambie hao baambile basikile....hhhahhaaaaaa
Hahahaaa kweli akili ni nywele kila mtu ana zake, hivi Alikiba na Team nzima ya Diamond ni maadui?
Endeleen kutoa povu
Hahahaha mwenzako kiba na neyo toka jana saa 6 za usiku wameanza kuingiza vocal, pop it in
Mlikua mna mshambulia kiba kumbe roho zilikuwa zinauma ndo mkawa mna ponda eeeh. Any way good move kwao