Mtvbaseafrica:wamaliza kila kitu kuhusu ishu ya Diamond Platnumz.Hongera kwa kutuwakilisha.

Hahahaahahaaaa kwahyo kuna wa kimataifa na ...........

ChekiSalio
 
wewe ni "chibu denga wakala" naona umelike kabisa post ya MALKIA WA NGUVU ....!!!
 
Nilichoelewa hapo ni kwamba Diamond ni wa Kimataifa na mwingine Kariakoo.

Sema [HASHTAG]#mtvbaseafrica[/HASHTAG] watakuwa wamenunuliwa na Diamond.

Post ya Kipusa imeweka July 25 na imependwa mara 6,563 na comments 464
Post ya Simba imewekwa Agosti 20 na imependwa mara 10.2K na comments 630
 
Jamaa amekubali Dimpozi, anakula sambuza ya bi mdangala??????????????
 
YAAN KUNA MMOJA HAPO ANATAKA NJIA YA MKATO KUPATA MAFANIKIO KUPITIA JINA LA MWENZIE....Iko wazi wivu,chuki na kutokubali kuzidiwa ndo alichonacho hy mwingine
 
YAAN KUNA MMOJA HAPO ANATAKA NJIA YA MKATO KUPATA MAFANIKIO KUPITIA JINA LA MWENZIE....Iko wazi wivu,chuki na kutokubali kuzidiwa ndo alichonacho hy mwingine
Halafu unadai mwenzako anataka kiki kwako wakati wewe ndio unamchokonoa kwa vijimaneno maneno!Amekujibu povu linakutoka!
 
jaman mie sina timu. mm ni uvccm tu. yaan magufuli ntamtetea mpaka utulie mwenyewe, so maybe timu yangu ni [HASHTAG]#Magufuli[/HASHTAG]
 
Aaaaah uvccm sasa hili jukwaa sio nenda huko kwenye jukwaa la siasa mkuu

usisahau vya kusahau kabla kusahau hAkujakusahau wewe uliye sahau
 
Hahahaaaa viti vimewaka moto,wamepewa vitanda walale kabisa na wamedozi mazimaaaa
 
YAAN KUNA MMOJA HAPO ANATAKA NJIA YA MKATO KUPATA MAFANIKIO KUPITIA JINA LA MWENZIE....Iko wazi wivu,chuki na kutokubali kuzidiwa ndo alichonacho hy mwingine
Hahahahaha! Kwani yeye amekataa kuwa amezidiwa au mtazamo wa mashabiki kama wewe kuona hakubali kuwa amezidiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…