Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mada hii itakuwa na 'Updates' mbalimbali za Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa PWANI. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kushiriki na wengine.
Ramani ya Mtwara
HISTORIA YA MKOA WA MTWARA
Mkoa wa Mtwara ni moja ya mikoa ya kusini mwa Tanzania, maarufu kwa kilimo cha korosho na bandari yake muhimu kwa biashara. Mkoa huu ulianzishwa rasmi wakati wa ukoloni, ukiwa na lengo la kuunganisha biashara kati ya maeneo ya kusini mwa Tanzania na pwani ya Afrika Mashariki. Maendeleo ya Mtwara yalichochewa zaidi baada ya ujenzi wa reli ya Mtwara kuelekea maeneo ya ndani ya nchi. Katika kipindi cha ukoloni wa Ujerumani na baadaye Uingereza, mkoa huu ulijulikana kama kitovu cha kilimo na biashara ya korosho, pamoja na mazao mengine.
HALI YA KISIASA
Mkoa wa Mtwara una jumla ya majimbo kumi (10), ambapo majimbo tisa (9) yana wabunge wa kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), na jimbo moja (1) lina mbunge kutoka Chama cha Civic United Front (CUF) kwa mujibu wa uchaguzi mkuu wa 2020.
MAJIMBO YA MKOA WA MTWARA
MATUKIO YANAYOJIRI KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MTAA MKOA WA MTWARA
- LGE2024 - Mtwara: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
- LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
--
Januari
Februari
Ramani ya Mtwara
HISTORIA YA MKOA WA MTWARA
Mkoa wa Mtwara ni moja ya mikoa ya kusini mwa Tanzania, maarufu kwa kilimo cha korosho na bandari yake muhimu kwa biashara. Mkoa huu ulianzishwa rasmi wakati wa ukoloni, ukiwa na lengo la kuunganisha biashara kati ya maeneo ya kusini mwa Tanzania na pwani ya Afrika Mashariki. Maendeleo ya Mtwara yalichochewa zaidi baada ya ujenzi wa reli ya Mtwara kuelekea maeneo ya ndani ya nchi. Katika kipindi cha ukoloni wa Ujerumani na baadaye Uingereza, mkoa huu ulijulikana kama kitovu cha kilimo na biashara ya korosho, pamoja na mazao mengine.
HALI YA KISIASA
Mkoa wa Mtwara una jumla ya majimbo kumi (10), ambapo majimbo tisa (9) yana wabunge wa kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), na jimbo moja (1) lina mbunge kutoka Chama cha Civic United Front (CUF) kwa mujibu wa uchaguzi mkuu wa 2020.
MAJIMBO YA MKOA WA MTWARA
Jimbo la Mtwara Vijijini
Jimbo la Nanyamba
Jimbo la Mtwara Mjini
Jimbo la Newala Vijijini
Jimbo la Newala Mjini
Jimbo la Ndanda
Jimbo la Lulindi
Jimbo la Masasi Mjini
Jimbo la Tandahimba
Jimbo la Nanyumbu
UPDATES
- Kuelekea 2025 - Gerson Msigwa: Serikali yawahakikishia wananchi Uchaguzi Huru na wa Haki 2025MATUKIO YANAYOJIRI KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MTAA MKOA WA MTWARA
- LGE2024 - Mtwara: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
- LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
--
Januari
Februari
- Katibu Mkuu CCM Mtwara Mjini: Vijana tumieni mitandao vizuri kwa manufaa ya CCM
- Mjumbe wa UWT Hawa Ghasia: Wakina mama tunafanya zaidi ya wanaume. Baada ya Samia, aje tena Rais Mwanamke!
- Mjumbe wa UWT Hawa Ghasia: Wakina mama tunafanya zaidi ya wanaume. Baada ya Samia, aje tena Rais Mwanamke!
- Tandahimba: Serikali imekamilisha ujenzi wa kituo cha afya cha Maheha kilichogharimu milioni 400