No SQL JF-Expert Member Joined Nov 8, 2014 Posts 7,063 Reaction score 12,563 Dec 8, 2021 #21 Hela za uviko tena...hiyo nadhani kawaambia waanze ujenzi ila sio kwamba wajenge vikamilike ndani ya huo muda
Hela za uviko tena...hiyo nadhani kawaambia waanze ujenzi ila sio kwamba wajenge vikamilike ndani ya huo muda
FRANCIS DA DON JF-Expert Member Joined Sep 4, 2013 Posts 38,920 Reaction score 44,970 Dec 8, 2021 #22 pye Chang shen said: Hela za uviko? Basi hongera sana kwa wote waliofanikisha tukapata hili fungu kwani sasa tunaona faida yake, Wacheni mama akae angalau mpaka 2035 Click to expand... Zile tozo za kujenga madarasa zimeenda kujenga madarasa gani?
pye Chang shen said: Hela za uviko? Basi hongera sana kwa wote waliofanikisha tukapata hili fungu kwani sasa tunaona faida yake, Wacheni mama akae angalau mpaka 2035 Click to expand... Zile tozo za kujenga madarasa zimeenda kujenga madarasa gani?
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Dec 9, 2021 #23 Ngoja tuone...