Umeshaweka tiles kweny nyumba ako mpya?π€¨π€¨π€¨π€¨Natarajia kula eid huko gas city.
Wapi kuna hotel nzuri ya 80-100k karibu na beach nije kuenjoy na warembo wa kimakonde
Wewe ujenzi utasubiri unaweza kufa mjengo watu wakapiga bei. Wacha kwanza niakaenjoy gas cityUmeshaweka tiles kweny nyumba ako mpya?π€¨π€¨π€¨π€¨
Hatari hapa lazima mmakonde akaragazwe kwa beach akiwa uchiKwasababu umesema Hotel iliyo karibu na Bahari, isingekuwa hivyo ningeshauri Ulale Tiffany Diamond Hotel π¨, nimewahi kulala pale wana vyumba visafi alafu vizuri.
Since umependa hotel iliyo karibu na Bahari then I would recommend Southern Cross Hotel Mtwara
Shangani Beach, Mtwara β Show on map
Wakati mwingine Uliza Google π
Mfuate hadi hukoHuyo yupo kyela huko
Hiyo hela sina alafu mambo ya kiutwa anko nani anatakaMfuate hadi huko
ππππ Unataka uitwe baby kumbe ππππwuuuuuhHiyo hela sina alafu mambo ya kiutwa anko nani anataka
Wale ni hatari, Viuno kama feni πββοΈπββοΈHatari hapa lazima mmakonde akaragazwe kwa beach akiwa uchi
Kuitwa bby raha bwanaππππ Unataka uitwe baby kumbe ππππwuuuuuh
Baby mwenyewe ushazeeka kwa nn usiitwe uncle.Kuitwa bby raha bwana
Vipi upo gas city mrembo?sawa
awapi, siko huko mkuuVipi upo gas city mrembo?