Mua Wazamisha meli bukoba

Mua Wazamisha meli bukoba

proton pump

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
6,814
Reaction score
10,104
Nilipokua nasoma darasa la tatu nilisoma hicho kitabu lkn sikukielewa vizuri

Kila nikitazama zile picha nilikua naona manahodha wanakula mua wa kawaida kweli.

Kwa ambaye anaweza kukipata please naomba anitumie ili nielewe vizuri MUA UNAWEZA KUPELEKA CHOMBO MRAMA?.
 
Mkuu umesema kuwa uliona picha wanakula muwa wa kweli,sasa wahoji nini zaidi??
 
images%282%29.jpeg

kwa wasioujua muwa ni kama huu ulioangusha baiskeli...
 
Nilipokua nasoma darasa la tatu nilisoma hicho kitabu lkn sikukielewa vizuri

Kila nikitazama zile picha nilikua naona manahodha wanakula mua wa kawaida kweli.

Kwa ambaye anaweza kukipata please naomba anitumie ili nielewe vizuri MUA UNAWEZA KUPELEKA CHOMBO MRAMA?.
weka hyo pcha ya kitab tuone wakila
 
Muwa huu unatufanya tusijenge, daaah ina maana ndan ya meli nahodha alikuwa ana gegedana akasahau kukiongoza chombo
 
Back
Top Bottom