Muafaka Wa Kenya, Wa Zenji Je?

Rev. Kishoka

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
4,526
Reaction score
1,540
It is interesting to hear and see that our 2 Presidents Mkapa na Kikwete have devouted so much of their time, energy and efforts using our tax money to have Kibaki and Raila agree to have Serikali ya Mseto.

One may sit down and wonder; it is now 2 years since Kikwete promised to find Muafaka on Zanzibar, kukutanisha Sefu na Karume. Why were Mkapa and Kikwete quick to their feet to resolve Kenya crisis, while they are continuosly for the past 12 years playing blind eye to Zanzibar/Pemba division that is a threat to Muungano and new bloodshed if we were to have elections even tomorrow?

Can they take a lesson from what happened in Kenya for the last 90 days to make sure that we are resolving issues at home front before we send both of them to Bashir or Mugabe?

I am glad they were able to have Raila and Kibaki to come to terms and agree on powersharing.
 
Rais Kikwete na Rais Mstaafu Mkapa hongereni kwa kusaidia muafaka wa jirani zetu Kenya kufanikiwa ktk kipindi cha siku 60!! kwa kweli sikutegemea kabisa kama mungeweza kusaidia juhudi hizo kushika kasi kwa kipindi hicho kifupi! kwani nikikumbuka muafaka wa wananchi wenzetu Zanzibar unaofikia miaka 12 sasa tena ktk kisiwa kidogo kama hicho nashindwa kuelewa!

Mimi sasa nakaribia kuamini kuwa huwenda sababu na uwezo wa kusaidia muafaka wa Zenji ufanikiwe tunao ila nia ndio hatuna!
 
Hivi Zanzibar kuna tatizo gani hadi wahitaji muafaka kama wa Kenya? Au ni muafaka wa kuanza kulipia umeme?
 
Kadogoo umesahau kuwa "Kinyozi hajinyoi" na "Mganga hajigangi"? Hebu tembelea nyumbani kwa fundi seremala akuoneshe fenicha zilizoko sebuleni kwake!
 
Hivi Zanzibar kuna tatizo gani hadi wahitaji muafaka kama wa Kenya? Au ni muafaka wa kuanza kulipia umeme?

Mimi nimelelewa na nimefundishwa kuheshimu wakubwa - na Mkuu wewe ni Senior kwangu katika JF, lakini naona unatoa point utumbo au ndio unafurahisha Ukumbi?

Tueleze kweli huelewi tatizo la Zanzibar, kwa kuthibitisha kuwa hakuna tatizo.
 
Hivi Zanzibar kuna tatizo gani hadi wahitaji muafaka kama wa Kenya? Au ni muafaka wa kuanza kulipia umeme?

Unaenda kinyume na Mwenyekiti wako wa Chama(Sisim) ambaye anakiri kuwa Znz kuna tatizo ( hotuba yake aloitoa bungeni)
 
Kadogoo umesahau kuwa "Kinyozi hajinyoi" na "Mganga hajigangi"? Hebu tembelea nyumbani kwa fundi seremala akuoneshe fenicha zilizoko sebuleni kwake!

Ndio misemo inayoturejesha nyuma na hutumika pale panapokuwa hapana hoja au dharau - Haraka haraka haina baraka, Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza( wakati watu wanatumia mamilionikutangaza bidhaa zao.

Hili ni la Zanzibar hakuna anayejali kwani walipouliwa watu kule nani alipiga kelele lakini vurugu za juzi Kenya wasomi wa chuo kikuu walitaka kufanya maandamano na mifano ni mingi tu, mmoja wapo ni huu wa hii thread hata uchangiaji wake ni mdogo kuna nini?
 

Walienda kushuhudia mwafaka ukiwekwa kama majirani,usiwape vichwa bila sababu.

Wao kama viongozi wa SISIEMU ni sehemu ya tatizo. Wao wajinga wakate tawi wakiwa bado wamelikalia?

Ushindi wa vyama vya upinzani ndiyo utakao maliza tatizo la Zanzibar.
 

Na kama hili wanalijua Wapinzani basi wangeelekeza nguvu zao zote Znz na kuhakikisha ushindi unapatikana, kwani ingalisaidia kuonyesha wananchi ni jinsi gani wapinzani wanatawala - kama wataboronga basi ndio wameshaua upinzani na kama watafanya vizuri basi itakuwa chachu ya kuingoa CCM na huku Bara.( Anyway nitaandikia thread hii kwa upana bado nakusanya mawazo)
 
CUF ndo wasanii kwani kwani kama wangekuwa serious kama ODM hali ya Zanzibar ingekuwa shwari na KARUME angekuwa waziri kiongozi labda. Zanzibar matatizo yataendelea kuwepo kwasababu watanzania tunajiona hatuna tatizo kumbe haki za binadamu haziheshimiwi.
 
Ili Zanzibar kuwe shwali basi tuwaachie wapastane wenyewe!!
Bara tunawavuruga hawataki Wao wanapenda wafikie muafaka wenyewe
tofauti na hivyo hawatapatana milele.
 
Mods,

Naomba muunganishe ile thread yangu ya Effort Muafaka na hii hapa maana zina shabihiana!
 

Hapa nakubaliana na wewe mzee, hao jamaa usanii umewazidi lakini kama WTZ wenzetu hatuna budi kuwasaidia na kuwaonyesha njia, ingawa inatakiwa wajitahidi kwanza - watu wanasema - mshikemshike na mwenyewe uko nyuma.
 
So Karume is still yo yo ing the Muafaka? what will Kikwete say?


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…