TWANJUGUNA
Member
- Jun 6, 2010
- 28
- 1
Ingawa ki-sheria, muajiri hana haki kujua hali ya mfanyakazi wake, waonaje kumuachia mtoto wako yaya usiyejua hali yake ya HIV?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingawa ki-sheria, muajiri hana haki kujua hali ya mfanyakazi wake, waonaje kumuachia mtoto wako yaya usiyejua hali yake ya HIV?
Mwajiri ana haki ya kujua status ya mwajiriwa! sio tu wafanyakazi wa ndani, ni maeneo yote ya kazi! Hii ina imply hata ukiajiri taahira ujue kiwango chake cha utahira..., kiwete kwa mfano, ni lazima ujue na uelewe ni mazingira yapi anayoweza fanyia kazi kutokana na hali yake! Na ndio maana kwenye mikataba ya kazi cheti cha kuonyesha uimara au udhoofu wa afya yako ni mhimu!