Muajiri Kukuhamisha Kituo Cha Kazi Ukiwa Kwenye Probation Period

Muajiri Kukuhamisha Kituo Cha Kazi Ukiwa Kwenye Probation Period

Mastamind

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
1,304
Reaction score
830
Msaada jamani.

Muajiri kamhamisha jamaa yangu tuliyeanza nae kazi January 2015 kutoka kituo kimoja kwenye kingine cha mbali tena hata bila posho yakujikimu wala ya uhamisho wala ya nauri na ukizingatia bado hata kuthibitishwa kazini.

Msaada wakisheria jamani, haki zake ni zipi hapa?na je, muajiri yuko sawa kweli?
 
jaribu kusoma standing order toleo la 2009,public service act 2003,public service regulation zitakupa mwanga!,maelezo yako ni finyu kiasi cha kushindwa kusaidiwa,mchango wangu ni kama ifuatavyo:-
uamisho wa mtumishi wa umma unastahili zifuatazo:-
disturbance allowance 10% of your annual salary,transportation (1000*km utazo safiri*1.5 Tonne),hela ya kujikimu ya siku 14 wewe,mkeo na wanao wanne au watemezi wao watapewa nusu ya fedha yako/mkeo,rate hii fedha ni kutokana mahali ulipohamishiwa,Makao makuu ya wilaya,mkoa,n.k
 
jaribu kusoma standing order toleo la 2009,public service act 2003,public service regulation zitakupa mwanga!,maelezo yako ni finyu kiasi cha kushindwa kusaidiwa,mchango wangu ni kama ifuatavyo:-
uamisho wa mtumishi wa umma unastahili zifuatazo:-
disturbance allowance 10% of your annual salary,transportation (1000*km utazo safiri*1.5 Tonne),hela ya kujikimu ya siku 14 wewe,mkeo na wanao wanne au watemezi wao watapewa nusu ya fedha yako/mkeo,rate hii fedha ni kutokana mahali ulipohamishiwa,Makao makuu ya wilaya,mkoa,n.k


Hoja hapo mkuu ni muajiriwa mpya ana miezi mitatu tu toka aajiriwe nakupangiwa kituo, tena hata kuthibitishwa kazini?
 
Hoja hapo mkuu ni muajiriwa mpya ana miezi mitatu tu toka aajiriwe nakupangiwa kituo, tena hata kuthibitishwa kazini?

mwajiri (sorry muajiri kama ulivyoiandika) ni yupi serikali, Parastatal, au mhindi...hujawa wazi
 
Nlichoona hapo hakuna malalamiko yoyote ya kwenda popote kwani ushasema yupo ktk probation so huyo bado si mfanyakazi kamili anaenda popote maana kule ktk job specification na description wanaandika kabisa utapewa kazi au kufanya kazi ktk mazingira gani na gani na hauwezi kujua mkataba wake unasemaje mshauri aupitie na pia apitie Hr Manual ya hapo inaonyesha kila kitu na yee ataona huyo Hr yupo sahihi ama vp nahofia Hr hawezi kutoka nje ya Hr Manual maana ndio muongozo!!!
 
Ulichokisema ni kweli mkuu coz huyo si mwajiriwa kwahyo awezi kupewa staiki zake zote labda kwa msaada wa ofisi
 
Back
Top Bottom