Akijiunga PSPF,anapewa mkopo na interest ni 7%.Wana hilo fao la kuanzia maisha.
Inachukua muda gani hadi apate na masharti ni yapi?
Thanks.
Ni ndani ya miezı 6 mpaka 12.Wanakopesha mpaka mara3 ya basıc yako na makato mpaka miaka 2.Sharti uwe mwanachama wao.Mwambie aongee na HR wake atamwelekeza.
Asante mkuu.
Nimekuhurumia tena kabisa, usianze kazi na mkopo utalia, kumbuka mshahara umeshindwa kukidhi unachotaka kufanya na unataka kukopa, mkopo utauripa kwa mda mrefu wakati mshahara nao utapungua zaidi ya hapo, sikushauri subiri angarau umalize mwaka mmoja
Mwajiriwa mpya kwenye mifuko ya jamii hutakiwa kumaliza kwanza miezi6 kazini ndo unapewa mikopo. Mfano LAPF NA PSPF wanafanya hivyo kwa mkpo wa kung'arisha geto