Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,201
- 236
Napenda Kukualika katika Mjumuiko wa wanabidii katika hoteli ya Peacock iliyopo Dar es salaam , Barabara ya Bibi Titi Pembeni mwa Viwanja vya Mnazi Mmoja .
Lengo la Mjumuiko huu ni kuwa na Sherehe ya Pamoja na Wanabidii wenzako pamoja na Kuchangia mfuko wa Benki ya wanabidii ambayo Iko katika hatua mbalimbali za Maandalizi yake .
Tarehe : 20 Mwezi wa 10 Kuanzia saa 1 Usiku
Kiingilio ni shilingi Elfu 30 Pamoja na chakula cha siku hiyo
Elfu 5 itaenda kwenye mchango wako wa Benki ya wanabidii .
Kutakuwa na vyakula orodha yake iko kwenye attachment vya asili ya afrika mashariki .
Unatakiwa kuthibitisha Ushiriki wa Mjumuiko huu Siku 5 Kabla ya Siku yenyewe .
Maswali zaidi
Mradi wa Benki Piga 0786 786724
Kuhusu Mjumuiko Huu na Viingilio 0787984842
Karibu wewe , ndugu na jamaa yako kwa ajili ya shuguli hii muhimu na maalumu kama mwanabidii .
Lengo la Mjumuiko huu ni kuwa na Sherehe ya Pamoja na Wanabidii wenzako pamoja na Kuchangia mfuko wa Benki ya wanabidii ambayo Iko katika hatua mbalimbali za Maandalizi yake .
Tarehe : 20 Mwezi wa 10 Kuanzia saa 1 Usiku
Kiingilio ni shilingi Elfu 30 Pamoja na chakula cha siku hiyo
Elfu 5 itaenda kwenye mchango wako wa Benki ya wanabidii .
Kutakuwa na vyakula orodha yake iko kwenye attachment vya asili ya afrika mashariki .
Unatakiwa kuthibitisha Ushiriki wa Mjumuiko huu Siku 5 Kabla ya Siku yenyewe .
Maswali zaidi
Mradi wa Benki Piga 0786 786724
Kuhusu Mjumuiko Huu na Viingilio 0787984842
Karibu wewe , ndugu na jamaa yako kwa ajili ya shuguli hii muhimu na maalumu kama mwanabidii .