britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Unambiwa Muhasibu anatunza pesa za Kampuni Kwa Sheria, anatumia mshahara Kwa tabia na bado ni maskini pamoja na kusomea pesa.
Mwanao mjengee tabia ya kuweza kuwaza Makubwa ya uwekezaji, na tabu atakazopata uzeeni pindi akiutegemea sana mshahara na kiinua mgongo.
Mfundishe kwa vitendo we kama mzazi, kwa kuwekeza na kunshirikisha kwenye miradi mbali mbali ya familia.
Pata madini
Mwanao mjengee tabia ya kuweza kuwaza Makubwa ya uwekezaji, na tabu atakazopata uzeeni pindi akiutegemea sana mshahara na kiinua mgongo.
Mfundishe kwa vitendo we kama mzazi, kwa kuwekeza na kunshirikisha kwenye miradi mbali mbali ya familia.
Pata madini