Muandamanaji wa Kike adakwa na Polisi Magomeni akifanya maombi

Muandamanaji wa Kike adakwa na Polisi Magomeni akifanya maombi

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Tukio la mmoja ya waandamanaji wa kike ambaye jina lake halijafahamika, akamatwa na Polisi alipokuwa akifanya maombi, eneo la Magomeni, jijini Dar es Salaam.

Septemba 11, 2024 Mwenyekiti wa Chadema, Mbowe alitangaza kufanyika maandamano ya kulaani matukio ya watu kutekwa na kuuawa, akiwemo aliyekuwa kada wake, Ali Kibao. Hata hivyo, Jeshi la Polisi kupitia msemaji wake, David Misime lilitangaza kuyapiga marufuku.
Kwa mujibu wa Mbowe, wameamua kuweka mkazo wa suala hilo, baada ya maombi ya mahitaji, ikiwemo kutaka kujiuzulu kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni, viongozi waandamizi wa ulinzi na usalama kama sehemu ya uwajibikaji.
 
Nimecheka kama mazuri haki! Sasa ana kosa gn huyu
 
Tukio la mmoja ya waandamanaji wa kike ambaye jina lake halijafahamika, akamatwa na Polisi alipokuwa akifanya maombi, eneo la Magomeni, jijini Dar es Salaam.

Septemba 11, 2024 Mwenyekiti wa Chadema, Mbowe alitangaza kufanyika maandamano ya kulaani matukio ya watu kutekwa na kuuawa, akiwemo aliyekuwa kada wake, Ali Kibao. Hata hivyo, Jeshi la Polisi kupitia msemaji wake, David Misime lilitangaza kuyapiga marufuku.
Kwa mujibu wa Mbowe, wameamua kuweka mkazo wa suala hilo, baada ya maombi ya mahitaji, ikiwemo kutaka kujiuzulu kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni, viongozi waandamizi wa ulinzi na usalama kama sehemu ya uwajibikaji.
Hayo ni maombi? Mbona kama vile anamsuta Mungu

Hakuna adabu wala uchaji kwenye huko kuomba kwake utafikiri anamsuta jirani waliyegombana nae

Hata baba yake mzazi aweza muongelesha hivyo au kumuomba kitu hivyo kama anavyoomba hayo maombi kwa Mungu?
 
Gerezani kuna sehemu tulivu ya kufanyia maombi pia
 
Tukio la mmoja ya waandamanaji wa kike ambaye jina lake halijafahamika, akamatwa na Polisi alipokuwa akifanya maombi, eneo la Magomeni, jijini Dar es Salaam.

Septemba 11, 2024 Mwenyekiti wa Chadema, Mbowe alitangaza kufanyika maandamano ya kulaani matukio ya watu kutekwa na kuuawa, akiwemo aliyekuwa kada wake, Ali Kibao. Hata hivyo, Jeshi la Polisi kupitia msemaji wake, David Misime lilitangaza kuyapiga marufuku.
Kwa mujibu wa Mbowe, wameamua kuweka mkazo wa suala hilo, baada ya maombi ya mahitaji, ikiwemo kutaka kujiuzulu kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni, viongozi waandamizi wa ulinzi na usalama kama sehemu ya uwajibikaji.
CHADEMA ni washindi, Lucas Mwashambwa amefeli
 
Nimeumia sana mtu anafanya maombi ya kufukuza Pepo la utekaji eti naye anakamatwa tena, kweli hawa police ni zero kabisa
 
Wananchi tukiendekeza hisia mbele kuliko logic wanasiasa watatuingiza matatizoni miaka michache ijayo mbeleni.

Katiba mpya maandamano.
tume huru ya uchaguzi maandamano.
Kodi kubwa na ushuru mkubwa maandamano.
Kutekwa kwa watu maandamano.
Everything kwenye hii nchi kinashinikizwa kitafutiwe suluhu kwa maandamano why maandamano?
Tujifunze kwa kupitia mifano ya nchi jirani zinazopitia hali ngumu kisa maandamano na jinsi yanavyoathiri amani na uchumi wa nchi zao.

Sidhani kama tumekosa haki ya kuhoji na kutatuliwa shida zetu kiasi cha kutufanya tuingie kwenye maandamano ya namna hii, ingali changamoto zipo kweli katika mfumo wa utawala hapa nchini.
 
Tukio la mmoja ya waandamanaji wa kike ambaye jina lake halijafahamika, akamatwa na Polisi alipokuwa akifanya maombi, eneo la Magomeni, jijini Dar es Salaam.

Septemba 11, 2024 Mwenyekiti wa Chadema, Mbowe alitangaza kufanyika maandamano ya kulaani matukio ya watu kutekwa na kuuawa, akiwemo aliyekuwa kada wake, Ali Kibao. Hata hivyo, Jeshi la Polisi kupitia msemaji wake, David Misime lilitangaza kuyapiga marufuku.
Kwa mujibu wa Mbowe, wameamua kuweka mkazo wa suala hilo, baada ya maombi ya mahitaji, ikiwemo kutaka kujiuzulu kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni, viongozi waandamizi wa ulinzi na usalama kama sehemu ya uwajibikaji.
ahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
 
Back
Top Bottom