imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Mar 4, 2019 #1 Lord Abraham Mutai (@ItsMutai) on Twitter Lord Abraham Mutai amezunguka Somaliland na kujionea Mwenyewe jinsi amani na Upendo ulivyotawala jamhuri hiyo Huku akisema kiasi yuko Somaliland alishuhudia Sherehe za Uwekaji wa jiwe la Msingi la Ujenzi wa Barabara kutoka Berbera Port Kwenda Ethiopia Siku hiyohiyo alipata habari ya Mogadishu on Fire Alshababu wameua watu kama mainzi. Thak you Lord Abraham Mutai Aterere! Ukweli daima!
Lord Abraham Mutai (@ItsMutai) on Twitter Lord Abraham Mutai amezunguka Somaliland na kujionea Mwenyewe jinsi amani na Upendo ulivyotawala jamhuri hiyo Huku akisema kiasi yuko Somaliland alishuhudia Sherehe za Uwekaji wa jiwe la Msingi la Ujenzi wa Barabara kutoka Berbera Port Kwenda Ethiopia Siku hiyohiyo alipata habari ya Mogadishu on Fire Alshababu wameua watu kama mainzi. Thak you Lord Abraham Mutai Aterere! Ukweli daima!
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Mar 4, 2019 Thread starter #2 Kuna tweet nyingine amesema "Somaliland wameweza kuwaweka ISIS AS na Vikundi vya Ubakaji mbali na Taifa hilo lililobarikiwa"
Kuna tweet nyingine amesema "Somaliland wameweza kuwaweka ISIS AS na Vikundi vya Ubakaji mbali na Taifa hilo lililobarikiwa"
Black Sniper JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 32,406 Reaction score 55,148 Mar 4, 2019 #3 Al shabab hawawezi kusogea huko maana watemi wote wako Somaliland Na biashara zinafanyika bila tabu Kina mama wanauza dhahabu kama mchicha sokoni na wakati wa sala wanafunika na shuka tu Kuna maajabu sana huko Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Al shabab hawawezi kusogea huko maana watemi wote wako Somaliland Na biashara zinafanyika bila tabu Kina mama wanauza dhahabu kama mchicha sokoni na wakati wa sala wanafunika na shuka tu Kuna maajabu sana huko Sent from my SM-G570F using Tapatalk
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 42,209 Reaction score 51,004 Mar 4, 2019 #4 We jamaa hii nchi mbona unaifagilia sana!? Sent using Jamii Forums mobile app
sifi leo JF-Expert Member Joined Mar 30, 2012 Posts 5,182 Reaction score 8,948 Mar 4, 2019 #5 RrrrŕDq!qq+q Sent using Jamii Forums mobile app
eliakeem JF-Expert Member Joined May 29, 2009 Posts 17,214 Reaction score 15,853 Mar 4, 2019 #6 imhotep said: Kuna tweet nyingine amesema "Somaliland wameweza kuwaweka ISIS AS na Vikundi vya Ubakaji mbali na Taifa hilo lililobarikiwa" Click to expand... Acha weeee, Taifa lililo barikiwa.
imhotep said: Kuna tweet nyingine amesema "Somaliland wameweza kuwaweka ISIS AS na Vikundi vya Ubakaji mbali na Taifa hilo lililobarikiwa" Click to expand... Acha weeee, Taifa lililo barikiwa.
misasa JF-Expert Member Joined Feb 5, 2014 Posts 14,244 Reaction score 10,073 Mar 5, 2019 #7 mjingamimi said: We jamaa hii nchi mbona unaifagilia sana!? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Atakuwa na hidden agenda mkuu sio bure
mjingamimi said: We jamaa hii nchi mbona unaifagilia sana!? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Atakuwa na hidden agenda mkuu sio bure
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Mar 5, 2019 Thread starter #8 mjingamimi said: We jamaa hii nchi mbona unaifagilia sana!? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Wanastahili hii Somalia Kusini ni wezi wa mipaka ya ndugu zetu Wakenya
mjingamimi said: We jamaa hii nchi mbona unaifagilia sana!? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Wanastahili hii Somalia Kusini ni wezi wa mipaka ya ndugu zetu Wakenya
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Mar 5, 2019 Thread starter #9 imhotep said: Wanastahili hii Somalia Kusini ni wezi wa mipaka ya ndugu zetu Wakenya Click to expand... Baada ya Kenya Utasikia Pemba na Unguja pia ni Zao.
imhotep said: Wanastahili hii Somalia Kusini ni wezi wa mipaka ya ndugu zetu Wakenya Click to expand... Baada ya Kenya Utasikia Pemba na Unguja pia ni Zao.