Elections 2010 Muasisi wa CCJ ahamia TLP

Elections 2010 Muasisi wa CCJ ahamia TLP

Konaball

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2009
Posts
2,949
Reaction score
1,940
Aliyekuwa miongoni mwa waasisi na mwanachama ‘front liner’ wa Chama Cha Jamii CCJ, Mashaka Seif, asubuhi ya leo ametangaza rasmi kujitoa CCJ na kuhamia TLP, katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo. Bwana Mashaka alimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa TLP, Hamad Rajab Tao kadi yake ya CCJ na kukabidhiwa kadi mpya ya TLP pamoja na ilani ya Chama.

Bwana Mashaka pia ametangaza nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Rorya mkoani Mara, na amesema mgogoro wa usajili kati ya CCJ na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini ndiyo sababu kubwa iliyomfanya ahamishie majeshi TLP.
 
Source GPL

Bwana Mashaka Seif akionesha kadi ya TLP muda mfupi baada ya kukabidhiwa na kupokelewa kuwa mwanachama wa Chama hicho.

Aliyekuwa miongoni mwa waasisi na mwanachama ‘front liner’ wa Chama Cha Jamii CCJ, Mashaka Seif, asubuhi ya leo(JANA) ametangaza rasmi kujitoa CCJ na kuhamia TLP, katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo. Bwana Mashaka alimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa TLP, Hamad Rajab Tao kadi yake ya CCJ na kukabidhiwa kadi mpya ya TLP pamoja na ilani ya Chama.

Bwana Mashaka pia ametangaza nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Rorya mkoani Mara, na amesema mgogoro wa usajili kati ya CCJ na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini ndiyo sababu kubwa iliyomfanya ahamishie majeshi TLP.
 
Kazi kwelikweli umaarufu wa ccj kwisha lakini kunakitu kinaendelea ndani yanchi sibure chama kinze nakusambaratika ghafula!!!
 
Hicho ndicho CCM kwa kumtumia Tendwa ilitaka kitokee - kusambaratika kwa nguvu kubwa tishio kwao.
 
Back
Top Bottom