Mubashara:CAF Super Cup Mamelodi Sundowns Vs Tp Mazembe

Mubashara:CAF Super Cup Mamelodi Sundowns Vs Tp Mazembe

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Leo wanakutana Mabingwa wa kombe la washindi ngazi ya Vilabu na Mabigwa wa kombe la Shirikisho Afrika.
Mpaka Sasa ni Mapumziko Matokeo ni Mamelodi Sundowns(South Afrika) 0 na Tp Mazembe(DRC) 0 yani ni bila bila mpaka sasa.

Tutazid kupashana matokeo zaidi Na pia Naimani next year Yanga atacheza hii fainali akiwa kama Bingwa wa kombe la Washindi.

Time will tell..
 
Back
Top Bottom