Hvi na nyie huwa mnapewa boom kumbe?
Hvi na nyie huwa mnapewa boom kumbe?
Perry take respect kwa kila mtu acha dharau za namna hiyo, life is a circle you don't know where it begins and where it'll end. Michango yako imekua ya kukatisha tamaa na kukejeli watu sio kitu kizuri Mkuu.
mkuu nimekuelewa,lakn humu si tunataniana tu asee,mbona na me huwa nataniwa na ckasiriki?
mkuu nimekuelewa,lakn humu si tunataniana tu asee,mbona na me huwa nataniwa na ckasiriki?