Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 582
Nimetoka kwenye kikao na waziri wa mikopo wa hapa MUCCoBS maswali tumemuuliza karibu yote kashindwa kuyajibu!! tatizo huyu waziri anaogopa kukubali kwamba kuna uzembe kwenye idara husika(Loan officer), uzembe huu ni kwenye kuchelewa kutuma majina ya waliopata supp na waliobadili course!! matokeo yake huyu waziri amekuwa akiwadanganya wanafunzi juu ya lini majina yataletwa na watasign ili wapewe pesa zao!! watu wanahasira sana na muda wowote kuanzia sasa hapa MUCCoBS mgomo unaweza kutokea!! watu wana hasira sanaa hawataki kumsikiliza waziri wa mikopo wa hapa MUCCoBS wanamtaka LOAN OFFICER wa hapa MUCCoBS na sio waziri narudia tena mgomo unaweza kutokea saa yoyote kuanzia sasa hapa MUCCoBS