MUCCoBS Boom/mkopo majangaaaa WAZIRI AJIBU PUMBA

Dah mkuu watu wanahasira sana aisee kuna watu wanataka kufukuzwa kwenye vyumba kwa sababu hawajalipa pango huwezi amini kuna watu wanategemea boom kwa kila kitu sasa wanapochelewesha wanaleta maisha magumu kwa wanafunzi hapa MUCCoBS

Ina maana boom la kwanza bado hamkupata?
 
poleni bandugu. Ckutarajia kama kuna vyuo bado hawajapata mzgo wa kwnza wakati wengine tunasubiri mzgo wa pili. Wawajibisheni viongozi.

Dah huyu waziri lazima tumuwajibishe
 
Aya bhana MPIGAMSULI...
Nilishakwambia tangu zamani ukajifanya paka wa mpishi, leo unakuja apa mikamasi imejaa kifuani unataka tukufute...

Uku kwetu tunangojea boom la xmax, karibu sana CoET...
 
Icho chuo nakijua vizuri pesa huwa zinawahi kufika ila wachaga lazima wakazungushe ktk bzness zao zikizaa ndio mnawekewa, na wanajua hamuwezi kugoma mpo jirani na ccp, hakuna historia ya mgomo muccobs.
 
Aya bhana MPIGAMSULI...
Nilishakwambia tangu zamani ukajifanya paka wa mpishi, leo unakuja apa mikamasi imejaa kifuani unataka tukufute...

Uku kwetu tunangojea boom la xmax, karibu sana CoET...

Dah mkuu chuo cha MUCCoBS kinauzembe sana sijawahi kuona
 
Icho chuo nakijua vizuri pesa huwa zinawahi kufika ila wachaga lazima wakazungushe ktk bzness zao zikizaa ndio mnawekewa, na wanajua hamuwezi kugoma mpo jirani na ccp, hakuna historia ya mgomo muccobs.

Wanatumia kigezo cha C.C.P hahaha
 
We mpigamsuli haya waeleze kwamba jana majina yalitoka na leo watu wamesign,,,NO MGOMO MUCCoBS.
Nalog off
 
chuoni chenu tatizo ni cha kata ndo mana mnahujumiwa na viongozi wenu pia heslb wamewasahau kama MUCCoBS kama chuo,wenzenu UDSM tunasubiri mzigo wa pili,i love UDSM ever

watu wamesha sign boom nyie mnatukanana, jipangeni..................:biggrin1:
 
mapinduz ni lazima katika kutafuta haki na hapohapo lazima baadhi ya watu watolewe kama kafala(wadisco kwa ajil ya hayo maandamano)
 
Ina maana watu waliofanya supplementary exams wako wengi kiasi cha kuanzisha mgomo kwa hasira zao waharibie wengi wenye pass zao?
Huo sio ukomavu wa kiakili kwa watu wa level yenu mazzee.

*mythoughts*
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…