guyz mwenye habar kuhuxu hostel za MUCCOBS kama zinapatikana,atuhabarishe!!
Hostel za MUCCoBS ni tatizo hasa wa watoto wa kiume but kwa wadada kupata ni lazima.
Sema kuna hostel za watu binafsi nje ya chuo japo si mbali na chuo ambapo ukiwahi waweza pata chumba cha watu 4.
Gharama za hostel ni 165000tsh kwa hostel za ndani na za nje ni 200000tsh.kama ni mvulana mi nakushauri kaa Nje.
Hostel za MUCCoBS ni tatizo hasa wa watoto wa kiume but kwa wadada kupata ni lazima.
Sema kuna hostel za watu binafsi nje ya chuo japo si mbali na chuo ambapo ukiwahi waweza pata chumba cha watu 4.
Gharama za hostel ni 165000tsh kwa hostel za ndani na za nje ni 200000tsh.kama ni mvulana mi nakushauri kaa Nje.