Muda gani huchukua kukubaliwa kurudi kwenye utumishi wa umma?

Muda gani huchukua kukubaliwa kurudi kwenye utumishi wa umma?

Mapato55

Member
Joined
Feb 7, 2015
Posts
12
Reaction score
7
Ndugu waungwana, nakuja mbele yenu ili kuomba msaada wa haraka na nini nifanye
mapema mwaka 2014 niliajiriwa kama mwalimu katika halmashauri moja hapa nchini Tanzania.

Hata hivyo, kwa kupatwa na tatizo lililo nje ya uwezo wangu nilipata matatizo yaliyopelekea kuondolewa kwenye mfumo wa malipo.

Mwaka 2019 niliomba tena kazi serikalini na hapo nilipangiwa kituo cha kazi katika halmashauri nyingine kwa kuwa nilikuwa nimekwisha kuwa na check Namba sikufanikiwa kupata fedha yoyote ambapo Mwajiri aliniombea kibali kwa katibu Mkuu Utumishi.

Hata hivyo, ni suala ambalo limekuwa na Ngoja Nyingi zisizo na Ukomo Wadau nashinwa kuelewa.

Je, nii miaka mingapi huchukua kukubaliwa kurudi kwenye utumishi wa umma?
 
Endelea kufuatilia Mkuu usichoke,utapata tu ukitakacho Inshallah
 
Ndugu waungwana, nakuja mbele yenu ili kuomba msaada wa haraka na nini nifanye
mapema mwaka 2014 niliajiriwa kama mwalimu katika halmashauri moja hapa nchini Tanzania.

Hata hivyo, kwa kupatwa na tatizo lililo nje ya uwezo wangu nilipata matatizo yaliyopelekea kuondolewa kwenye mfumo wa malipo.

Mwaka 2019 niliomba tena kazi serikalini na hapo nilipangiwa kituo cha kazi katika halmashauri nyingine kwa kuwa nilikuwa nimekwisha kuwa na check Namba sikufanikiwa kupata fedha yoyote ambapo Mwajiri aliniombea kibali kwa katibu Mkuu Utumishi.

Hata hivyo, ni suala ambalo limekuwa na Ngoja Nyingi zisizo na Ukomo Wadau nashinwa kuelewa.

Je, nii miaka mingapi huchukua kukubaliwa kurudi kwenye utumishi wa umma?
Hakuna muda maalumu. Kinachohitajiwa ni kibali tu cha Rais. Utumishi ndio wanaobidi kukuombea hicho kibali. Wao wakikamilisha uchunguzi wao na kuridhika huwezi kurudia kosa ulilofanya wanakwenda Ikulu kuomba hicho kibali.
 
Duuuh kuhama Serikali na kurudi ni shughuli nzito hivyo
 
Kiukweli ni changamoto sana japo hakuna linalo shindikana chini ya hii dunia utafanikiwa lakn nijuavyo sio chini ya miaka 3 itakuchukua maana hta kibali kikitoka kuna process bado zitakula muda mwingi, sababu ushaumua kuyavulia maji nguo inabdi uyaoge ila kiukwli uwe mwenye subra sana , na uwe mfuatliaji wa hatua kwa hatua.
 
Back
Top Bottom