Muda gani ni Sahihi wa kuhesabiwa watu wa sensa?

Muda gani ni Sahihi wa kuhesabiwa watu wa sensa?

MapejrTz

New Member
Joined
Jul 21, 2022
Posts
2
Reaction score
1
Jumanne Agosti 23 2022, itakuwa ni siku ya Sensa ya sita (6) tangu Tanzania kupata uhuru. Sensa hii itafanyika kwa mujibu wa sheria ya Takwimu sura Na. 351 kifungu cha 6(2)(a).
Muda sahihi wa watu na makazi yao kuhesabiwa ni usiku wa kuamkia tarehe 23 Agosti 2022.
KUMB: Taarifa zote zitakazo kusanywa katika Sensa hii zitalindwa kwa sheria ya Takwimu sura Na. 351 kifungu cha 6(2)(a).

"SENSA KWA MAENDELEO, JIANDAE KUHESABIWA"
 
Njoen mnihesabu hamnikuti
FB_IMG_16593404700196261.jpg
 
Njoen mnihesabu hamnikutiView attachment 2313400
Ndugu yangu, sensa hii ni kwa ajili ya maendeleo yako na mimi, na jamii nzima kwa ujumla. Huduma za kijamii kama vile hospitali, shule n.k. haziwezi kufika katika eneo lako kama serikali haina taarifa na idadi ya watu na makazi yao katika jamii yako.
Kwa Hiyo ni muhimu kuhesabiwa katika eneo lako.
Sensa ni kwa ajili yako na mimi, tujitokeze kuhesabiwa.
Sensa kwa maendeleo, tujiandae kuhesabiwa
 
Ndugu yangu, sensa hii ni kwa ajili ya maendeleo yako na mimi, na jamii nzima kwa ujumla. Huduma za kijamii kama vile hospitali, shule n.k. haziwezi kufika katika eneo lako kama serikali haina taarifa na idadi ya watu na makazi yao katika jamii yako.
Kwa nchi zinazojitambua inaweza kuwa sahihi, sisi hatujawahi kuwa na mipango mizuri kutokana na viongozi wetu kukosa uadilifu
 
Jumanne Agosti 23 2022, itakuwa ni siku ya Sensa ya sita (6) tangu Tanzania kupata uhuru. Sensa hii itafanyika kwa mujibu wa sheria ya Takwimu sura Na. 351 kifungu cha 6(2)(a).
Muda sahihi wa watu na makazi yao kuhesabiwa ni usiku wa kuamkia tarehe 23 Agosti 2022.
KUMB: Taarifa zote zitakazo kusanywa katika Sensa hii zitalindwa kwa sheria ya Takwimu sura Na. 351 kifungu cha 6(2)(a).
Ni maajabu ya kusikitisha sana! Hii sensa ya Tanzania yetu ni kitendawili kikubwa. Watu hawajiekewi.
Hawa wanaofundishwa kufanya zoezi hili nao wanaonekana kutoelewa kutokana na ile tabia ya umimi ya waandaaji.! Nasema hivyo Kwa sababu Nina watu wa karibu hasa waalimu ambao wengi wao ndio wako humo.
WaTanzania wengi hasa vijana wasio na kazi maalum wanalala nje kusiko na makazi maalum!! Hawa wanahesabikaje??
Anyway namba itasomeka kufanikisha zoezi ili mradi kupata Fedha za Maendeleo zaidi Toka Kwa wafadhili. ULAJI MPYA huo.!!
 
Ndugu yangu, sensa hii ni kwa ajili ya maendeleo yako na mimi, na jamii nzima kwa ujumla. Huduma za kijamii kama vile hospitali, shule n.k. haziwezi kufika katika eneo lako kama serikali haina taarifa na idadi ya watu na makazi yao katika jamii yako.
Kwa Hiyo ni muhimu kuhesabiwa katika eneo lako.
Sensa ni kwa ajili yako na mimi, tujitokeze kuhesabiwa.

sio kweli
 
Umeekwa utaratibu wa kuhesabu makundi yote ya Watu watakaolala ndani ya Mipaka ya Tanzania [emoji1241] siku hiyo, mbali ya wasio na Makazi Maalum hata Wasafiri nao watahesabiwa!
Ni maajabu ya kusikitisha sana! Hii sensa ya Tanzania yetu ni kitendawili kikubwa. Watu hawajiekewi.
Hawa wanaofundishwa kufanya zoezi hili nao wanaonekana kutoelewa kutokana na ile tabia ya umimi ya waandaaji.! Nasema hivyo Kwa sababu Nina watu wa karibu hasa waalimu ambao wengi wao ndio wako humo.
WaTanzania wengi hasa vijana wasio na kazi maalum wanalala nje kusiko na makazi maalum!! Hawa wanahesabikaje??
Anyway namba itasomeka kufanikisha zoezi ili mradi kupata Fedha za Maendeleo zaidi Toka Kwa wafadhili. ULAJI MPYA huo.!!
 
Ndugu yangu, sensa hii ni kwa ajili ya maendeleo yako na mimi, na jamii nzima kwa ujumla. Huduma za kijamii kama vile hospitali, shule n.k. haziwezi kufika katika eneo lako kama serikali haina taarifa na idadi ya watu na makazi yao katika jamii yako.
Kwa Hiyo ni muhimu kuhesabiwa katika eneo lako.
Sensa ni kwa ajili yako na mimi, tujitokeze kuhesabiwa.
SIASA
 
Ni maajabu ya kusikitisha sana! Hii sensa ya Tanzania yetu ni kitendawili kikubwa. Watu hawajiekewi.
Hawa wanaofundishwa kufanya zoezi hili nao wanaonekana kutoelewa kutokana na ile tabia ya umimi ya waandaaji.! Nasema hivyo Kwa sababu Nina watu wa karibu hasa waalimu ambao wengi wao ndio wako humo.
WaTanzania wengi hasa vijana wasio na kazi maalum wanalala nje kusiko na makazi maalum!! Hawa wanahesabikaje??
Anyway namba itasomeka kufanikisha zoezi ili mradi kupata Fedha za Maendeleo zaidi Toka Kwa wafadhili. ULAJI MPYA huo.!!
Wanahesabiwa pia wako katika kundi maalumu
 
Ni maajabu ya kusikitisha sana! Hii sensa ya Tanzania yetu ni kitendawili kikubwa. Watu hawajiekewi.
Hawa wanaofundishwa kufanya zoezi hili nao wanaonekana kutoelewa kutokana na ile tabia ya umimi ya waandaaji.! Nasema hivyo Kwa sababu Nina watu wa karibu hasa waalimu ambao wengi wao ndio wako humo.
WaTanzania wengi hasa vijana wasio na kazi maalum wanalala nje kusiko na makazi maalum!! Hawa wanahesabikaje??
Anyway namba itasomeka kufanikisha zoezi ili mradi kupata Fedha za Maendeleo zaidi Toka Kwa wafadhili. ULAJI MPYA huo.!!
Kama hujui kitu iliza.
 
Walipeni pesa zao kwanza siku ya kumi leo tumechoka kupigwa mizinga ya nauli. Magufuli angekuwepo kitambo Sana wangeshapewa pesa zao.
 
Jumanne Agosti 23 2022, itakuwa ni siku ya Sensa ya sita (6) tangu Tanzania kupata uhuru. Sensa hii itafanyika kwa mujibu wa sheria ya Takwimu sura Na. 351 kifungu cha 6(2)(a).
Muda sahihi wa watu na makazi yao kuhesabiwa ni usiku wa kuamkia tarehe 23 Agosti 2022.
KUMB: Taarifa zote zitakazo kusanywa katika Sensa hii zitalindwa kwa sheria ya Takwimu sura Na. 351 kifungu cha 6(2)(a).
Sasa mimi huu msimu biashara yangu ya majeneza imekubali mara nyingi nakesha kibandani kwangu kutengeneza majeneza narudi gheto asubuhi kuoga na kubadiri nguo kisha narudi kwenye biashara yangu.
Halafu nyumba niliyopanga naishi peke yangu na hakuna hata mtu anayejua jina langu halisi hapo sasa najiuliza wazee wa sensa watanifuata kwenye stoo yangu ya majeneza usiku ili wanihesabu?
 
Back
Top Bottom