Muda huu upo kazini kuna mtu amekaa anapigia hesabu mshahara wako ambao hata wewe mwenyewe haukutoshi!

Muda huu upo kazini kuna mtu amekaa anapigia hesabu mshahara wako ambao hata wewe mwenyewe haukutoshi!

Dogoli kinyamkela

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2024
Posts
618
Reaction score
1,440
Huwezi kuamini muda huu upo kazini kuna mtu mzima kabisa na meno 32 limekaa linapigia hesabu mshahara wako ambao hata wewe mwenyewe haukutoshi.

Afrika ukiwa ni lijinga lisiloheshimu kipato chako, unapata marafiki wengi sana lakini ukiamua kuwa na nidhamu kwa kila senti yako, wanasema ni mbahili una roho mbaya. Maneno siyo mishale, sunda kibunda chako.
 
Huwezi kuamini muda huu upo kazini kuna mtu mzima kabisa na meno 32 limekaa linapigia hesabu mshahara wako ambao hata wewe mwenyewe haukutoshi. Afrika ukiwa ni lijinga lisiloheshimu kipato chako, unapata marafiki wengi sana lakini ukiamua kuwa na nidhamu kwa kila senti yako, wanasema ni mbahili una roho mbaya. Maneno siyo mishale, sunda kibunda chako.
Wakina Logikos wanasema wabongo wana utu sana, wanajaliana kuliko wazungu.
 
Umesema Wagerasi walimpa hela ya nauli Yesu?
Mmh uongo wale mbona walifukuza akatembea kwa miguu mpaka Yordani akapata lifti ya mtumbwi mpaka ng'ambo ya bahari ya Galilaya!
🤔🤔
 
Huu uzi umenifanya nicheke kwa nguvu. Nipo kweli ofisini na kuna mwamba kanitumia msg sasa hivi kuwa haelewi mazingira ya kwake nimtoe hata na elfu 20.

Kilichonifanya nicheke ni huyu mwamba ana wake wawili (kaongeza mke mwingine wiki iliyopita) na kila siku majigambo yake ni kuwa hawezi kuajiriwa ila hana kazi yeyote ya maana zaidi ya 'mission town'.
 
Wewe ni broke person ambaye hauna financial freedom na upo na circle kubwa ya watu ambao mnajitafuta .

Hivyo haya ndo madhara
-kuhisi unanyonywa
-kuhisi watu wabaya
-Hasira and mood swings

Unachobidi kuwa nacho usiishi Kwa kutegemea salary peke yake hiyo huitwa Rat race (mbio za panya)

Unaamka
Unaenda kazini
Unarudi nyumbani
Unalala

This is bullshit life you need to be more creative in life

MTU kuupigia hesabu mashahara wako ambao haufiki hata mil 10 means umezungukwa na masikini wengi (consumers) you don't need to hate them but use them in positive way .

Tunahitaji watu Sana in our life Ila jitahidi aina gani ya watu unawahitaji hii itakusaidia Sana .

Hata omba omba ana thamani
Mlevi ana thamani
Mvuta bangi Ana thamani

Kwani kupitia ulevi kuna watu wanatajirika Kwa kuuza pombe refer to Mlokozi n.k
 
Huu uzi umenifanya nicheke kwa nguvu. Nipo kweli ofisini na kuna mwamba kanitumia msg sasa hivi kuwa haelewi mazingira ya kwake nimtoe hata na elfu 20.

Kilichonifanya nicheke ni huyu mwamba ana wake wawili (kaongeza mke mwingine wiki iliyopita) na kila siku majigambo yake ni kuwa hawezi kuajiriwa ila hana kazi yeyote ya maana zaidi ya 'mission town'.
Aya mambo yapo mkuu ndo mana nayaweka apa
 
Huu uzi umenifanya nicheke kwa nguvu. Nipo kweli ofisini na kuna mwamba kanitumia msg sasa hivi kuwa haelewi mazingira ya kwake nimtoe hata na elfu 20.

Kilichonifanya nicheke ni huyu mwamba ana wake wawili (kaongeza mke mwingine wiki iliyopita) na kila siku majigambo yake ni kuwa hawezi kuajiriwa ila hana kazi yeyote ya maana zaidi ya 'mission town'.
Bongo ina vituko sana, unaweza kuta mtu anafyatua kwa kasi sana lakini kukopa au kugongea pesa ya mlo wa familia ndio mfumo wa maisha yake!
 
Wewe ni broke person ambaye hauna financial freedom na upo na circle kubwa ya watu ambao mnajitafuta .

Hivyo haya ndo madhara
-kuhisi unanyonywa
-kuhisi watu wabaya
-Hasira and mood swings

Unachobidi kuwa nacho usiishi Kwa kutegemea salary peke yake hiyo huitwa Rat race (mbio za panya)

Unaamka
Unaenda kazini
Unarudi nyumbani
Unalala

This is bullshit life you need to be more creative in life

MTU kuupigia hesabu mashahara wako ambao haufiki hata mil 10 means umezungukwa na masikini wengi (consumers) you don't need to hate them but use them in positive way .

Tunahitaji watu Sana in our life Ila jitahidi aina gani ya watu unawahitaji hii itakusaidia Sana .

Hata omba omba ana thamani
Mlevi ana thamani
Mvuta bangi Ana thamani

Kwani kupitia ulevi kuna watu wanatajirika Kwa kuuza pombe refer to Mlokozi n.k
Hii fuvu kama ndo uliyo itumia shule basi mzazi ama mlez alipata hasara,wap nimeandika hao watu ulio waorodhesha wewe mkuu pambana kula Kwa jasho lako usipendwe kupewa pewa ovyo Kuna kina Mr DIDDY nk
 
Wakina Logikos wanasema wabongo wana utu sana, wanajaliana kuliko wazungu.
Kwamba kwa wazungu haya hayatokei ?

Achana na ya kuuana baina ya mtu na mtu bali wao hata mataifa mazima na bara zima walishiriki kulifanya utumwa / watumwa..., case in point wanakwenda sehemu wanajimilikisha waulize kina Aborigines na Red Indians alafu ndio uje hapa tu debate nini maana ya Utu...

Narudia tena watanzania ni watu peacefully sana ni wapuuzi wachache wanasiasa, walamba asali ambao kwa peanuts wanadiriki kuwakandamiza watu na yote haya sometimes yanatokea kwa hao wazungu na indoctrination ya divide and rule kwamba mbaya wako ni Mtanzania mwenzako na sio the main characters wanaowaangamiza
 
Hii fuvu kama ndo uliyo itumia shule basi mazazi ama mlez alipata hasara,wap nimeandika hao watu ulio waorodhesha wewe mkuu pambana kula Kwa jasho lako usipendwe kupewa pewa ovyo Kuna kina Mr DIDDY nk
Kama nilivyoandika

Shida kubwa ya watu maskini huwa wanawekeza katika chuki and negativity
 
Huu uzi umenifanya nicheke kwa nguvu. Nipo kweli ofisini na kuna mwamba kanitumia msg sasa hivi kuwa haelewi mazingira ya kwake nimtoe hata na elfu 20.

Kilichonifanya nicheke ni huyu mwamba ana wake wawili (kaongeza mke mwingine wiki iliyopita) na kila siku majigambo yake ni kuwa hawezi kuajiriwa ila hana kazi yeyote ya maana zaidi ya 'mission town'.
Dah!...labda anaongea utani tu, wengine mnachukulia kweli.
 
Back
Top Bottom