tenanzinyo
Member
- Dec 28, 2012
- 64
- 23
Tafadhali jibu kama unauhakika na jibu, sio mdanganye watu wakaumize wake zao.
kwa kawaida ni mpaka apone kwamfano kuna wengine wanajifungua kwa operesheni ambao hawa nafikiri huchukua muda kidogo kupona kidonda, na hata kama amejifungua kwa njia ya kawaida kuna wale ambao huongezewa njia na hivyo hushonwa kama atapata matibabu mazuri basi ndani ya mwezi mmoja anaweza akafanya tendo la ndoa.tupe na wewe data zako hii ni sayansi.
Mpaka ishara za matamanio zitakaporejea kwa mwanamke