Muda muafaka wa kufanya tendo la ndoa baada ya kujifungua kwa opareshini.

Zambavuni

Senior Member
Joined
May 24, 2012
Posts
118
Reaction score
26
Salaam kwa wana JF. Hivi mwanamke akijifungua kwa operasheni anatakiwa aanze kukutana na mwenza baada ya muda gani ( yaani kufanya tendo la ndoa) bila kupata matatizo?
 
Salaam kwa wana JF. Hivi mwanamke akijifungua kwa operasheni anatakiwa aanze kukutana na mwenza baada ya muda gani ( yaani kufanya tendo la ndoa) bila kupata matatizo?
Ok. Kwisha Google, at least 6 weeks!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…