Muda mwingine unaweza kudhani wanaJF wapo busy na maisha kumbe!!!

Hutumii maneno mazuri kwenye nyuzi...

Hakimisha ukiqoutiwa uanze na maneno matamu kama babe,hubby, darling, kisuza roho changu, bundle mjibu post, n.k
Bundle! Masai una vijimambo wewe
 
Ila chitchat nzuri sana, unazoeana na mtu kiaina, mara paaap mnazama pm, mara paaap mmepeana code za watsapp, mara paaap date ya kwanza inafanyika kwenye bar moja karibu na nyumba ya wageni. Mtu anavuliwa kyupi just like that. How sweet[emoji23]
 
Ila chitchat nzuri sana, unazoeana na mtu kiaina, mara paaap mnazama pm, mara paaap mmepeana code za watsapp, mara paaap date ya kwanza inafanyika kwenye bar moja karibu na nyumba ya wageni. Mtu anavuliwa kyupi just like that. How sweet[emoji23]
Duuu una uzoefu wakutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…