Muda ndo huu, himahima Wanayanga, tukutane Taifa kuwashabikia Al Ahly.

Muda ndo huu, himahima Wanayanga, tukutane Taifa kuwashabikia Al Ahly.

Aleyn

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2011
Posts
21,058
Reaction score
36,272
Habari Wakuu!

Wanayanga tupo? Mimi ndo natoka zangu maeneo kazini kwangu naelekea Uwanja wa Taifa kushuhudia mtanange wa kihistoria kati ya Simba dhidi ya Al Ahly.

Ninatumaini kuwa kwa pamoja wanayanga tutaonesha ushabiki uliotukuka kuwashabikia waarabu pale Taifa.

Tuwahi wanayanga kufika Uwanjani ili tupate siti za kutosha, tusisahau kubeba maji ya kunywa kwa ajili joto, jezi zetu za Yanga bila kusahau Maziwa lita moja kwa ajili ndugu zetu mashabiki wa Simba ili kwamba wakinywa sumu tuwawahi na maziwa.

Ahsante Saana!
 
Habari Wakuu!

Wanayanga tupo? Mimi ndo natoka zangu maeneo kazini kwangu naelekea Uwanja wa Taifa kushuhudia mtanange wa kihistoria kati ya Simba dhidi ya Al Ahly.

Ninatumaini kuwa kwa pamoja wanayanga tutaonesha ushabiki uliotukuka kuwashabikia waarabu pale Taifa.

Tuwahi wanayanga kufika Uwanjani ili tupate siti za kutosha, tusisahau kubeba maji ya kunywa kwa ajili joto, jezi zetu za Yanga bila kusahau Maziwa lita moja kwa ajili ndugu zetu mashabiki wa Simba ili kwamba wakinywa sumu tuwawahi na maziwa.

Ahsante Saana!
Uzuri Mkiujaza uwanja Simba ndio inapata mapato zaidi. Hizo hela za kiingilio si mchangie Yanga jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viruka njia at their best.Kushangalia timu ambazo sio zao.
 
Habari Wakuu!

Wanayanga tupo? Mimi ndo natoka zangu maeneo kazini kwangu naelekea Uwanja wa Taifa kushuhudia mtanange wa kihistoria kati ya Simba dhidi ya Al Ahly.

Ninatumaini kuwa kwa pamoja wanayanga tutaonesha ushabiki uliotukuka kuwashabikia waarabu pale Taifa.

Tuwahi wanayanga kufika Uwanjani ili tupate siti za kutosha, tusisahau kubeba maji ya kunywa kwa ajili joto, jezi zetu za Yanga bila kusahau Maziwa lita moja kwa ajili ndugu zetu mashabiki wa Simba ili kwamba wakinywa sumu tuwawahi na maziwa.

Ahsante Saana!
huna uzalendo , beberu we !
 
Vipi mzee ulijisikia vp baada ya Waarabu uliowashangilia kuliwa na Simba
 
Huu mradi wanaojipa baadhi ya mashibiki wa Yanga hauna maana. Wangeweka nguvu kushangilia timu yao na kuachana na mambo ya kushobokea wageni. Hadi sasa kila timu waliyoshabikia Taifa, ukianza na Mbabane, Nkana, Soura na sasa Ahly zote zimepasuka. Hawashtuki?
 
Wamebahatisha sana, ila bado wanasafari ndefu sanaa...Vita anakuja, simba ataenda algeria...
haponi mtu hapo....



Vivaa Wydad Casablanca
 
Back
Top Bottom