Hongera mpendwa hadi kufikia hapo mlipo na naomba usitangulize swala la kuchokana endelea kulifanya penz lenu liwe jipya kila kulicha na muweke mungu mbele ktk mambo yenu, kila mtu awe na upendo wa dhati kwa mwenzie na muheshimiane hakika mkifata hayo mambo hamtachokana na mda sahihi wa uchumba ni ule mda mtakaokuwa tayari wewe na mwenza wako kuanza maisha mapya na mkakubaliana
Kama mtachokana mapema yote hii fikiria baada ya miaka kumi itakuaje!!Haya harakisheni ndo ili kuchokana kuje wakati mshafungwa pingu!!!
Usiogope kuingia kwenye ndoa kama upo tayari kwa hilo. Kikubwa unachotakiwa kujua ni nini maana ya ndoa na kama mwana ndoa wajibu wako ni nini! Ukishajua hayo hakuna kuchokana kwenye ndoa. Kwani wewe umeshawahi kumchoka mshikaji wako? Karibu sana na All the best!
Hongera mpendwa hadi kufikia hapo mlipo na naomba usitangulize swala la kuchokana endelea kulifanya penz lenu liwe jipya kila kulicha na muweke mungu mbele ktk mambo yenu, kila mtu awe na upendo wa dhati kwa mwenzie na muheshimiane hakika mkifata hayo mambo hamtachokana na mda sahihi wa uchumba ni ule mda mtakaokuwa tayari wewe na mwenza wako kuanza maisha mapya na mkakubaliana