Muda umefika serikali kuingilia kati kufanya maamuzi magumu kuliko kuiachia TFF pekee

Muda umefika serikali kuingilia kati kufanya maamuzi magumu kuliko kuiachia TFF pekee

Uhuru24

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
4,112
Reaction score
4,361
Kuna ulazima wa serikali kuingilia kati hata kushauriana na TFF hasa suala hili la mpira.

Ilikuokoa timu ya taifa, mimi kwa mtazamo wangu tungeanza na kupunguza wachezaji wa kigeni angalau hata saba 7.

Kukaa bench ni hatari sana kwa mchezaji yeyote yule, ingawaje hapa watu watakuja kusema (hawafanyi juhudi mazoezi I) hapana.

Huwezi weka mchezaji nje wa million 200 huku umtangulize Waziri Jr, hata hao mashabiki hawatakuelewa, hivyo tunauwa vipaji vyetu wenyewe.

Pia soma: FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024

Tupunguze wachezaji wa kigeni, ili tuwape nafasi wazawa za kucheza kuliko kukaa bench, tutakuwa tutalaumu kila siku pasipo kuangalia tatizo lilipo.

Angalau tungekuwa na wachezaji nje wa kutosha ingetusaidia kufikia malengo, lakini bado tunategemea wachezaji wa ndani zaidi ya 70%.

Muda Muafaka kuliangalia hili, ili tuikomboe stars.
 
Acha tuendelee na vilabu vyetu timu ya Taifa tuliizika kwenye kaburi moja na mh rais wa awamu ya pili mzee mwinyi
 
Kuna ulazima wa serikali kuingilia kati hata kushauriana na TFF hasa suala hili la mpira.

Ilikuokoa timu ya taifa, mimi kwa mtazamo wangu tungeanza na kupunguza wachezaji wa kigeni angalau hata saba 7.

Kukaa bench ni hatari sana kwa mchezaji yeyote yule, ingawaje hapa watu watakuja kusema (hawafanyi juhudi mazoezi I) hapana.

Huwezi weka mchezaji nje wa million 200 huku umtangulize Waziri Jr, hata hao mashabiki hawatakuelewa, hivyo tunauwa vipaji vyetu wenyewe.

Tupunguze wachezaji wa kigeni, ili tuwape nafasi wazawa za kucheza kuliko kukaa bench, tutakuwa tutalaumu kila siku pasipo kuangalia tatizo lilipo.

Angalau tungekuwa na wachezaji nje wa kutosha ingetusaidia kufikia malengo, lakini bado tunategemea wachezaji wa ndani zaidi ya 70%.

Muda Muafaka kuliangalia hili, ili tuikomboe stars.
TFF hamna kitu, uwezo wake umefikia hapo
 
Taifa star ni kichwa Cha mwendawazimuuu..
 
Wapumbavu pekeee wanaweza kukubaliana naww ....yaani wachezaji wageni wapo kwa asilimia ngapi ktk ligi yetu!?...je wachezaji wetu kwanini hawaendi nje kucheza kwa wingi kupandisha viwango vyao ....ukijiuliza baadhi ya mawali kama hayo ndo utaelewa kuwa umeandika udwanzi .....wachezaji wajitume wagombee namba .....hkuna huruma kwa wavivu Dunia ya leo
 
Mnaacha kutengeneza mipango mizuri kwa timu za vijana na kuwafanya wachezaji wetu waweze kucheza ligi za nje ya nchi mnawaza namna ya kupunguza wachezaji kama vile ndio sababu ya msingi.
Zamani ligi ilikuwa na wachezaji wachache sana wa kimataifa lakini hakuna mafanikio yoyote yaliyopatikana kwa timu taifa. Wachezaji wa kibongo waache uvivu wapambane wapate namba mbele za wageni na pia wasisubiri kusajiliwa na Simba na Yanga tu kuna timu nyingi tu Africa hivyo wakiwa na viwango soko ni kubwa sana.
 
Juzi mlipoifunga Zambia wachezaj wa kigen hawakuwepo nchini?

Timu imeanza kuendeshwa kishkaj n kujaza makocha oya oya wanaochagua wachezaji oya oya mnategemea nini?

Mpaka dakika hii hakuna winga nchini wa kumzid Simon Msuva wala straika wa kumkaribia Mbwana Samatta.
 
Kuna ulazima wa serikali kuingilia kati hata kushauriana na TFF hasa suala hili la mpira.

Ilikuokoa timu ya taifa, mimi kwa mtazamo wangu tungeanza na kupunguza wachezaji wa kigeni angalau hata saba 7.

Kukaa bench ni hatari sana kwa mchezaji yeyote yule, ingawaje hapa watu watakuja kusema (hawafanyi juhudi mazoezi I) hapana.

Huwezi weka mchezaji nje wa million 200 huku umtangulize Waziri Jr, hata hao mashabiki hawatakuelewa, hivyo tunauwa vipaji vyetu wenyewe.

Pia soma: FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024

Tupunguze wachezaji wa kigeni, ili tuwape nafasi wazawa za kucheza kuliko kukaa bench, tutakuwa tutalaumu kila siku pasipo kuangalia tatizo lilipo.

Angalau tungekuwa na wachezaji nje wa kutosha ingetusaidia kufikia malengo, lakini bado tunategemea wachezaji wa ndani zaidi ya 70%.

Muda Muafaka kuliangalia hili, ili tuikomboe stars.
Aiseeeee
 
TANZANIA YANGU DAHHHH.

"Hakuna umasikini Mbaya kama umasikini wa Fikra".
Jk Nyerere.
 
Soka hamliwezi. Kwanini msiwekeze kwenye Boxing ambako mlishawahi kupata mikanda kibao ya Afrika?

Kenya tulishatambua hatuna vipaji vya soka, vilivyopo ni vichache na vya kuforce sana, ila tumebarikiwa Wakimbiza upepo ni ile hatari. Kwanini na nyie msiwekeze kwenye Boxing mnakofanya vizuri sana?
 
Kuna ulazima wa serikali kuingilia kati hata kushauriana na TFF hasa suala hili la mpira.

Ilikuokoa timu ya taifa, mimi kwa mtazamo wangu tungeanza na kupunguza wachezaji wa kigeni angalau hata saba 7.

Kukaa bench ni hatari sana kwa mchezaji yeyote yule, ingawaje hapa watu watakuja kusema (hawafanyi juhudi mazoezi I) hapana.

Huwezi weka mchezaji nje wa million 200 huku umtangulize Waziri Jr, hata hao mashabiki hawatakuelewa, hivyo tunauwa vipaji vyetu wenyewe.

Pia soma: FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024

Tupunguze wachezaji wa kigeni, ili tuwape nafasi wazawa za kucheza kuliko kukaa bench, tutakuwa tutalaumu kila siku pasipo kuangalia tatizo lilipo.

Angalau tungekuwa na wachezaji nje wa kutosha ingetusaidia kufikia malengo, lakini bado tunategemea wachezaji wa ndani zaidi ya 70%.

Muda Muafaka kuliangalia hili, ili tuikomboe stars.
Serikali ni nani?
 
Kuna ulazima wa serikali kuingilia kati hata kushauriana na TFF hasa suala hili la mpira.

Ilikuokoa timu ya taifa, mimi kwa mtazamo wangu tungeanza na kupunguza wachezaji wa kigeni angalau hata saba 7.

Kukaa bench ni hatari sana kwa mchezaji yeyote yule, ingawaje hapa watu watakuja kusema (hawafanyi juhudi mazoezi I) hapana.

Huwezi weka mchezaji nje wa million 200 huku umtangulize Waziri Jr, hata hao mashabiki hawatakuelewa, hivyo tunauwa vipaji vyetu wenyewe.

Pia soma: FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024

Tupunguze wachezaji wa kigeni, ili tuwape nafasi wazawa za kucheza kuliko kukaa bench, tutakuwa tutalaumu kila siku pasipo kuangalia tatizo lilipo.

Angalau tungekuwa na wachezaji nje wa kutosha ingetusaidia kufikia malengo, lakini bado tunategemea wachezaji wa ndani zaidi ya 70%.

Muda Muafaka kuliangalia hili, ili tuikomboe stars.
Wachezaji wetu wanahitaji kupambania namba kwenye vilabu vyao na sio kubwa kwa kisingizio Cha uzawa. Wawekezaji wanaweka hela ndefu Simba, Yanga na Azam ili timu zipate mafanikio na wao wapate faida. Sasa unataka wampange Waziri Junior badala ya Aucho kisa mzawa? Huo ni upumbavu!
 
Juzi mlipoifunga Zambia wachezaj wa kigen hawakuwepo nchini?

Timu imeanza kuendeshwa kishkaj n kujaza makocha oya oya wanaochagua wachezaji oya oya mnategemea nini?

Mpaka dakika hii hakuna winga nchini wa kumzid Simon Msuva wala straika wa kumkaribia Mbwana Samatta.
Sasa zinatuharibu sana, academy za vijana hata jazielewwk
 
Back
Top Bottom