Muda unaosubiri,,kupata pesa zako za nssf au ppf

Muda unaosubiri,,kupata pesa zako za nssf au ppf

Hollyreath

Senior Member
Joined
Apr 22, 2013
Posts
126
Reaction score
12
Habari wana jamvi,,,nnimeacha kazi,nitachukua muda gani kupata pesa zangu za nssf
 
dah....hata mimi nahitaji kufahamishwa mkuu....nasubiri.
 
Habari wana jamvi,,,nnimeacha kazi,nitachukua muda gani kupata pesa zangu za nssf

dah....hata mimi nahitaji kufahamishwa mkuu....nasubiri.

Unatakiwa kuandika barua ya notification kuwa umeacha kazi, na kuipeleka kwenye mfuko husika unaouchangia. Malipo huwa wanaandaa si chini ya miezi sita.
 
Duuh miezi sita nakasubiriaga tu kahela kangu,,,na kazi nimefanya miezi nane tu,,hahahhaha funny goverment
 
NSSF wamebadiri utaratibu, kwa sasa hakuna tena kusubiri miezi 6.Nenda tawi lolote la NSSF lililokaribu ukiwa na barua yako ya kuacha/kuachishwa kazi(utoe copy) na kadi yako ya NSSF(pia utoe copy ya rangi) kisha utapewa form za kujaza(kwa kesi yako ni mafao ya kujitoa uanachama),kisha utafahamisha siku ya kwenda kuchukua cheque yako.Ni kati ya majuma 2 mpaka mwezi kulipwa cheque yako.
 
NSSF wamebadiri utaratibu, kwa sasa hakuna tena kusubiri miezi 6.Nenda tawi lolote la NSSF lililokaribu ukiwa na barua yako ya kuacha/kuachishwa kazi(utoe copy) na kadi yako ya NSSF(pia utoe copy ya rangi) kisha utapewa form za kujaza(kwa kesi yako ni mafao ya kujitoa uanachama),kisha utafahamisha siku ya kwenda kuchukua cheque yako.Ni kati ya majuma 2 mpaka mwezi kulipwa cheque yako.

umenena ukweli
 
Back
Top Bottom