kwa wale ambao wanahitaji kufanya maombi ya vyuo kwa level ya degree na walichelewa kufanya hivyo sasa mtafanya kuanzia tarehe 29 july hadi 9 august 2013.
Chuo lazima iwe january coz walienda wa sita watamaliza wa 9 mwishoni au wa 10 mwanzoni.halafu wa awamu ya tatu watamaliza wa 12 mwishoni.labda awamu ya 3 waitoe den watafanya mabadiliko ya intake