cha yanga???Kikosi cha Simba bado kipya.Ni muda wa Kocha kuwajenga wachezaji kiakili na kugundua nani na nani acheze.
Mi siijui yanga labda Utopolocha yanga???
Kiukweli kazi ipo tena kubwa, hamna game plan imeeleweka leo, pale ilikuwa gusa twende mbele tu 😂😂Kikosi cha Simba bado kipya.Ni muda wa Kocha kuwajenga wachezaji kiakili na kugundua nani na nani acheze.
huna kikos tuliza komwe hilo [emoji16][emoji16]Ma uto yanatiana moyo baada ya kuogopa vyuma vjlivyosajiliwa na mnyama
Kwa hiyo kikosi cha Simba kimebaki kama kile kile kilichoifunga Yanga 2-0 na Singida BS 3-1 ?Ukiangalia kikosi chao cha leo dhidi ya timu dhaifu. Lakini bado uchezaji wao ni uleule hakuna maajabu wala nyongeza yoyote kwenye kikosi cha makolo.
Dah ...aleko muslam kaka...Sista samaleko
Alibahatika na wiki 3 juu.Huyo kocha sidhani kama Nyerere Day itamkuta Tanzania