Muda wa internship (training)

eselungwi

Member
Joined
Mar 12, 2012
Posts
97
Reaction score
70
habari wakuunlikuwa nauliza kama kuna mwenye ufahamu kuhusu interniship ,nategemea kumaliza chuo mwaka kesho bachelor of science in medical laboratory technology nimeskia kwa wote waliosoma medical nje ya nchi wakirud lazima wafanye internship je ni kweli?na inachukua mda gan?kunamda wa maalumu wa kuomba kufanya au ni mda wowote unaorud? ntashukuru kwa majibu yenu
 
Tunashukuru kujua kuwa uko nje ya tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…