Habari za wakati wakuu.
Naomba kujua ni ndani ya siku ngapi unaruhusiwa kukata rufaa kwa kesi ya madai iliyosikilizwa katika mahakama ya Wilaya kwenda mahakama kuu ili nisiwe nje ya muda.
Natanguliza shukhrani kwa kutumia muda wenu kwa kunijulisha hili.
Ahsante.
Naomba kujua ni ndani ya siku ngapi unaruhusiwa kukata rufaa kwa kesi ya madai iliyosikilizwa katika mahakama ya Wilaya kwenda mahakama kuu ili nisiwe nje ya muda.
Natanguliza shukhrani kwa kutumia muda wenu kwa kunijulisha hili.
Ahsante.