Panctuality
JF-Expert Member
- Jun 11, 2019
- 775
- 1,150
Habarini,naam nizame kwenye mada.
Mchezo wa leo SSC Vs YAC mashabiki mbalimbali humu jf walitoa ahadi mpaka wakazidi mipaka, Half american umeahidi Yanga akipoteza mchezo wa leo naomba nipigwe ban miezi 6 KAGAMEE "Yanga akifungwa leo naomba nipigwe ban mwaka mzima.
@cetshwayokampande "yanga inashinda kaomba mi kuwa simba (kaupatia ushabiki wangu) ikitimia mwendo wa kurushiana k~vant.
watani wangu poleni kwa kupata matokeo kinyume na matarajio yenu nadhani Moderator anatambua ni utani hivyo hakuna ban hapo ila ndugu yangu Cetshwayo Kampande fanya kweli kwa ahadi ya k~vant soon nakutumia control number pm na itakuwa expired after 30 minutes nadaiwa hapa na wahudumu.
Ahahahahahaaa
Mchezo wa leo SSC Vs YAC mashabiki mbalimbali humu jf walitoa ahadi mpaka wakazidi mipaka, Half american umeahidi Yanga akipoteza mchezo wa leo naomba nipigwe ban miezi 6 KAGAMEE "Yanga akifungwa leo naomba nipigwe ban mwaka mzima.
@cetshwayokampande "yanga inashinda kaomba mi kuwa simba (kaupatia ushabiki wangu) ikitimia mwendo wa kurushiana k~vant.
watani wangu poleni kwa kupata matokeo kinyume na matarajio yenu nadhani Moderator anatambua ni utani hivyo hakuna ban hapo ila ndugu yangu Cetshwayo Kampande fanya kweli kwa ahadi ya k~vant soon nakutumia control number pm na itakuwa expired after 30 minutes nadaiwa hapa na wahudumu.
Ahahahahahaaa