Habari wakuu,ni miaka 2 na mwezi 1 tangu nimejifungua mtoto wangu wa kwanza, kwa njia ya upasuaji,kwa sasa nahitaji mtoto wa pili,je ni muda sahihi kiafya
Nadhani ni muda sahihi. Ila uhakika na majibu ya kitaalam zaidi unaweza yapata kwa madaktari walio ktk hospitali zilizo jirani nawe au hata manesi wazoefu.
Nadhani ni muda sahihi. Ila uhakika na majibu ya kitaalam zaidi unaweza yapata kwa madaktari walio ktk hospitali zilizo jirani nawe au hata manesi wazoefu.