kwa wale wote wanaotaraji kufanya mtihani wa kidato cha nne na QT (PRIVATE CANDIDATE NA SCHOOL CANDIDATE), wameongezewa muda wa usajili hadi 31 march tofauti na ilivokua awali ambapo leo 28 feb ndo ilikua mwisho. Muda umeongezwa kutokana na sababu kadha ikiwemo kuchelewa kwa matokeo ya kidato cha nne.Upatapo ujumbe huu mjuze na mwenzako.Msije chelewa tena na kuanza kulalamika na zaidi ya hapo penalty inakuhusu