Uzuri anaelewa soka la AfricaSawa ni Jambo jema.
Inawezekana piasababu ya kutokuwa benchi ni korona fulu stopu.
Ndio chiefhuyu ndo alikua benchi na Mwinyi zahera or...
Sina wasiwasi nae huyu ni kocha mzuri sana na analijua soka la ukanda wetu huu vizuri.Ndio chief
Hii picha ni wakati ule alipokuja kucheza mchezo wa kirafikiWana msimbazini izo ni tetesi zinazoendelea na jana Ibenge hakuwa kwenye benchi la ufundi wakati congo ikipepetana na Libya.
View attachment 1683111
Kwani bongo kuna vizuizi? Hata kuipata isitoshe aliipatia huku hukuAlikutwa na covid huko Cameroon amekuja vp bongo?
Itakuwa ya mesiChenga ya wapi